Nimenunua aina hiyo ya photocopy ikiwa mpya mwaka jana tu, ila sasahivi ukiiwasha inalema message hii
UPDATE FIRMWARE
*BIOS MODE*
2010/10/28 VOL .01
Na haiwaki wala huwezi kufanya chochote...
Wakuu,mambo zenu?naombeni msaada wenu kujua nachotakiwa kufanya katka ku upgrade simu yangu aina ya samsung s2(orange)..hii simu ipo katika version ya gingerbread 2.3.5.ni jinsi gani naweza ku...
Nna Samsung galaxy s2, android version ni gingerbread so naitaji any member of this forum mwenye ujuzi wa ku-upgrade android version walau iende kwenye jellybean or above. Ntamfata alipo, na...
msaada plz... nna lenovo tablet PC idea Tab A3000-H ninahitaji USb cable yake.... nikitumia cable nyingine niconnect kwenye PC device haionekani.....
pia mnisaidie namna ya kuinstall OS...
kwa wale wenye samsung galaxy j7 SM-j700H link hyo hapo ya kuweza ku upgrade android version yako kua 6
http://lifeatsamsung.com/install-official-android-6-0-1-update-galaxy-j7-sm-j700h/
Habari ndugu wa jukwaa letu pendwa la technology. Wadau mi nina swali ningependa kuuliza hivi kwa nini kwenye computer zetu hakunaga software kwaajili ya ku-downlod programs mbali mbali za...
HABARI
Nili-unistall phone message storage kwa bahati mbaya, sasa inasababisha simu kukatakata network kila wakati , msaada nifanye nini ili niweze kureinstall hii system application.
An Android Malware “GODLESS” which contains multiple root exploits has been discovered. It has already affected thousands of android users worldwide (mostly the Asian countries).
Reference...
Hi
If any of you have ever purchased devices from china,you might have noticed them missing google play services and even when installed, it pops ups lots of errors that makes the handset to...
Habari za jion wana jf naomba mwenyekujua anisaidie nina na tatizo, mimi kuna mtu alikuwa ananidai pesa nikamtumia miezi kama 2 imepita kwa mpesa na ikanionesha imefika sasa ni. Ekutana na yule...
Asante mtandao wa tigo kwa kutuwekea university offer kwenye laini zenu za 4g hata kama sio mwanachuo sasa najiunga popote hata huku nilipo ileje songwe tanzania nakipata naomba kuwasilisha
Download update za WhatsApp na fuata melekezo kama inavyoekekezwa kwenye hii link hapa chini
http://whatsapjobs.blogspot.com/2016/06/how-to-quote-in-whatsapp.html
Nipo Dar,Nina Basic knowledge ya language kama HTML,pascal na java kidogo.So nilihitaji mtu anayejua android development anipe class na nitaongea na wenzangu tujikusanye kwa pamoja.So if...
Wanajukwaa habari,
Katika ulimwengu huu wa simu janja kumekuwa Na simu janja mbalimbali zitumiazo mifumo mbalombali ya kiuendeshaji Kama vile simu za androids ,iphone Na mfumo wake wa IOS pamoja...