inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 650
- 716
Hbari wadau nina Nokia lumia 830.Kioo kinarespond vizuri ishu i zile button tatu za chini yaani search, home na return hazirespond.Nimeifungua na kuweka weka ikanda bado hazirespod.Nimepeleka kwa mafundi wanadai solution ni kuweka kioo kipya.Sababu tupo watalaam humu nilikuwa nauliza je bei ya kuweka kioo kipya ni shiling ngapi maana nipo up country na mafundi huku nadhani kama wanatupiga vile.
Msaada jamani
cc chief Mkwawa
Mwl RTC
Msaada jamani
cc chief Mkwawa
Mwl RTC