Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Natanguliza shukrani , nilikuwa nahitaji msaada kwa mtu anaeweza kutengeneza sabuni za kuoshea chooni, nilipenda zaidi na mm kujua jins ya kufanya ili niweze kutengeneza pia,
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisoma a lot in science , sijawahi kuona mahali mwafrika aliweza kugundua lolote katika dunia ya sayansi. I might be wrong, sijui!!!! Tufanyeje waafrika? Angalia attached list
0 Reactions
39 Replies
3K Views
habari ya siku wanajamii,, nina laptop aina ya dell E5400 32-bit operating system,, 2gb ram,, shida yangu kubwa ni namna gani nitaweza kuweka sim card na kuiwezesha ifanye kazi kwenye hii laptop...
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Naomben msaada kwa hili Nina pc Toshiba satellite 2core 4gbRam storage capacity 500gb mwanzon nilikuwa nacheza game ya a ina yoyote lakin Sara fifa 14. Tu linakuwa slow nimejatibu kubadili window...
0 Reactions
4 Replies
591 Views
Mjasiriamali Elon Musk ametangaza mpango wake wa kuunda makao ya binadamu katika sayari ya Mirihi (Mars kwa Kiingereza),ingawa wanaotaka kunufaika watahitajika kulipa pesa nyingi. Tiketi ya...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Wadau heshima kwenu. Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, naomba msaada wa keys za SPSS version tajwa hapo juu. Asanteni sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa.. naombeni msaada nifanye nini tablet yangu display yake inaonyesha mwanga mweupe mpaka uikandamize kwa nyuma kwa nguvu ndo inarud katika hali yake ya kawaida.. tatizo ni...
1 Reactions
0 Replies
684 Views
Natambua huu ni msimu ambao wazazi na wanafunzi waliobahatika kufauru wanajiandaa wakifanya maandalizi kuelekea level nyingine. Kwanza niwape hongera kwasabu haikua kazi rahisi. Kwa wale...
4 Reactions
44 Replies
27K Views
Habari zenu waungwana?? Nina tatizwa na hili simu yangu tecno boom j7 inagoma kusave launcher unasave inarun baada ya muda inarudi Kama awali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HABAR, Wakuu hiyi kitu inaitwa .cerber3 ransomware, ni kirusi kibaya zaid ya kilichowahi kutokea dunian kwa sasa Kinafanyaje kazi: kinaingia kwa njia za kawaida kama kirus kingine tu, ila...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Jamani ni lini itakuja hii simu nasikia ni hatari vibaya kuliko hata hawa sumsung
0 Reactions
76 Replies
11K Views
Swali langu ni hili,sim yangu ya Samsung galaxy S4 inaweza kusupport 4G na nawezaje kuifanya iwe na 4G? Au ndo originally haiwezi kubadirika?
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kama kichwa cha Habari kinavyosema nitatoa hela kwa atakaye nisaidia mbinu ya kuRoot Huawei y3ii yangu maana nimejaribu kila mbinu na kila app za Android pamoja na za Computer ninazojua...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Msaada kwa app ya kubadilishia front styl kwa H6..
0 Reactions
2 Replies
573 Views
Habari, Natumia Vodafone hizi za android ila kila nikijaribu kuset details za email kwenye App ya email, naletewa taarifa kuwa nmekosea email au password ilhal naingiza kwa usahihi. Naomba mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wapendwa.... Naomba kwa anaejua website isiyo na longo longo ya kudownload nyimbo aina zote atupie hapa..... NB... Waptrick kuna nyimbo nazikosa.... Tubidy tangu ibadilike inanishinda...
0 Reactions
53 Replies
15K Views
Habari zenu wakuu... Jana nimenunua simu kwenye tigo shop Simu aina ya Tecno N2 Ila inatumia tigo tu kwa sim1 ambayo ndo yenye mtandao mkubwa Hivyo naomba mwenye ujuzi na ufahamu wa kuifungua ili...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kichwa cha habari kinajieleza wadau nilifanya factory data reset nikajikuta nimefuta vitu vyangu vya muhimu kama picha videos na mafaili mengine, tafadhali naomba mnisadie ni apps zipi nitumie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Habarini ya mida hii, napenda kuwatangazia kuwa bado offer inaendelea Kwa yeyote anayehitaji website au project yeyote ile iwe system au webbase app, tuwasiliane Kwa namba hii 0687535650...
0 Reactions
2 Replies
597 Views
Wapendwa wanaJF, Nina tatizo kwa simu yangu. Simu yangu ni iPhone 5 nyeupe ambayo nimekuwa nikiitumia kwa muda wa mwaka mmoja sasa, lakini hivi juzi imejiblock na kuandika iPhone is disabled...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom