Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Beauty camera . inafanya hiyo proces ila ntawawawekea picha kuzibitisha. Asanteni kwa mchango wenu woteeee [emoji182][emoji182]
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakubwa leo jioni wakati natoka kwenye mishe mishe zangu za hapa na pale nimeangusha nokia yangu ya tochi ila ina security code,je mtu aliyeokota anaweza kwenda kuflash ikakubali kama...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wakuu habari za muda huu, Nimesahau pattern ya simu naomben ujuzi naifunguaje simu hii
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Anayefahamu namna ya ku boost na ku promote bure tuwasiliane pm.Nipo tayari kuununua huo ujuzi
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Naomba procedures za kujail-break ipad angu ios 9.3.4 ili niweke whatsapp version ya jailbreak......
0 Reactions
2 Replies
751 Views
Habari wakuu Siku mbili zilizopita nilileta Uzi unao husulivr TV apps nzuri za kuangalia TV kwenye sim yako ya smart phone Leo nakuja na hii ambayo utaweza utaweza kuangalia TV za hapa home kama...
5 Reactions
31 Replies
12K Views
HABARI WAKUU MSAADA KWA ALIEWAHI KUKUTANA NA HII ISHU Microsoft office professional plus 2010 encountered an error during setup NIMEJALIBU MICROSOFT OFFICE KALIBIA ZOTE BADO NAPATA UJUMBE HUU ILA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ipad imekata netiweki, huduma zote zitumiazo intaneti kwa mfano JF na kusoma habari mbalimbali sipati, naomba msaada wadau nifanyeje?
0 Reactions
3 Replies
681 Views
Mimi ni mwanafunzi bado wa advance na nimechukua mchepuo wa arts(HGL). Nimekuja mbele yenu leo ili niweze kupata msaada maana Nahitaji kuwa na utaalamu wa maswala mazima ya CCTV na Security...
1 Reactions
2 Replies
799 Views
Whatsapp wametoa version mpya na wanataka ni-update. Lakini nikienda google play, inasema device yangu haiendani na hiyo new version. Nafanyaje sasa? Natumia samsung tablet note.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimeona apple hawana mchezo, sasa kwenye simu zao wanatumia System on Chip Apple A10 ambayo ni nzuri sana kwa gaming (hexa-core GPU). Snapdragon 820 wataweza moto? Hizi A10 ni latest zimekuja na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamani watalam naombeni msaada wa serial keys za Microsoft Office 2010.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Movie zlzo tafcriwa kiswahl ntadownload wap kwa Android phone yangu nsaidien wadau
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nahitaji msaada jinsi ya ku-adjust mwanga wa pc (dell latitude 620 natumia window 7)....nimejaribu Fn + arrow keys na pia settings za rangi lkn hakun mabdliko
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Nimekuwa nikitumia Smart kwa siku kama 3 sasa na kuna tatizo kubwa nimekutana nalo, inaelekea IP za mtandao huu zinatumika sana kutuma SPAM na kuendesha botnets, hii inapelekea kampuni ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni upcoming photographer hivyo bas nahitaji ninunue camera ...nahitaji used canon nina laki saba nanusu tafathali kama unamjua mtu anaetaka kuuza naomba unitaarifu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu.njoo inbox kwa mawasiliano zaidi
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kampuni ya simu ya Blackberry itasitisha kutengeza simu aina ya smartphone baada ya miaka 14 katika bishara hiyo ,kampuni hiyo imetangaza. Ikiwa wakati mmoja kiongozi katika soko la mauzo ya...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Bei tsh.120,000/= maelewano yapo 0712 264469/0624000172 Dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Back
Top Bottom