Msaada unahitajika chief mkwawa na wengine

Msaada unahitajika chief mkwawa na wengine

Quan Lup

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
710
Reaction score
1,012
wadau
habarini za jioni wandugu naombeini msaada wenu
Natumia laptop aina ya HP pavilion core i5 2.4GHZ processor intel HD graphic tatitzo la mashine yangu siku hizi inapata sana moto wadau naombeni msaada wadau nifanyeje na tatizo ni nini??

msaada unahitajika
 
ikipata moto ingia task manager angalia process ipi inakula sana resource. kuingia task manager right click taskbar halafu chagua task manager au bonyeza kwa pamoja ctrl+alt+delete.

na feni linazunguka?
 
ikipata moto ingia task manager angalia process ipi inakula sana resource. kuingia task manager right click taskbar halafu chagua task manager au bonyeza kwa pamoja ctrl+alt+delete.

na feni linazunguka?
ndo feni inazunguka vizuri sana tyuu sasa sijui nini tatizo na mfano nikicheza game inazimika kabisa
 
mkuu sina experiance na haya mambo au nimpelekee fundi aniangalizie
yap nenda, cheki hii picha
p4_04_thermal_paste_small.jpg


cpu inatakiwa iwe na kitu kama dawa ya mswaki kwa juu kupunguza joto, kama haina inatakiwa ipakwe.

ila issue ya task manager hapo juu pia ifatilie
 
Hata vumbi likizidi kwenye fins na fan husababisha laptop kuchemka sana, ni vema ikafunguliwa na kusafishwa vizuri, na kubadili thermal compound kama alivyoshauri chief hapo juu.
 
Wakuu mmesaidia wengi wenye tatizo hilo mana hata yangu inahilo tatizo
 
yap nenda, cheki hii picha
p4_04_thermal_paste_small.jpg


cpu inatakiwa iwe na kitu kama dawa ya mswaki kwa juu kupunguza joto, kama haina inatakiwa ipakwe.

ila issue ya task manager hapo juu pia ifatilie
shukrani sana chief nitafanya hvoo
 
Hata vumbi likizidi kwenye fins na fan husababisha laptop kuchemka sana, ni vema ikafunguliwa na kusafishwa vizuri, na kubadili thermal compound kama alivyoshauri chief hapo juu.
shukran mkuu kwa ushauri
 
Chief Mkwawa. ..
Mi natumia laptop aina ya Toshiba satellite C660-14 H.

Inatatizo la kupata joto sana na nimepitia katika
"task manager"
nimekuta 56% inatumika katika
"Spooler Subsystem App"
Je inaumuhim gani hiyo kitu katika mashine...?


System
Processor: Intel (R) CPU
P6100 @ 2.00GHz
Installed memory (RAM): 2.00GB (1.86GB usable)
System type: 32-bit Operation System, x64-based processor
1475044933875.jpg
1475044946528.jpg
 
Back
Top Bottom