God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
Nimechoka kila siku kuingia gharama sababu ya wizo wa halotel, nikijiunga na kifurushi na MB 600 nikifungua youtube au kudownload na magropu machache ya whatsapp kifurushi kinaisha.
Sasa najiuliza hizi ni MB 600 au 100.
Kuna mitandao kama airtel kwa waliobahatika kukaa na maeneo ya chuo au voda wanazifaidi sana hizi MB, zinaweza kuwa 100 lakini ukadumu nazo zaid ya huo uchwara wa halotel.
Wananiboa sana hawa matapeli.
Au nyie mnakumbana na kadhia yangu wakuu?
Sasa najiuliza hizi ni MB 600 au 100.
Kuna mitandao kama airtel kwa waliobahatika kukaa na maeneo ya chuo au voda wanazifaidi sana hizi MB, zinaweza kuwa 100 lakini ukadumu nazo zaid ya huo uchwara wa halotel.
Wananiboa sana hawa matapeli.
Au nyie mnakumbana na kadhia yangu wakuu?