hi wanajamvi
yani simu ina memory storage kubwa lakn nikidownload app kutoka play store inakataa inaniambia view memory storage....kuna tatizo gan labda wakuu?
Huu mtandao nadhani hawajielewi. Ni kawaida sana kukuta mtandao umekata bila taarifa yoyote. Nimekuwa nina experience mbaya nikiwa Dar, Mbeya na Arusha. Leo nimekuja Mbeya, hakuna network...
Tecno j7 ina virus wengi. Nimejaribu kuwaondoa kwa kutumia apps ya 360 security lakini bado vipo. Nikifungua browser kwa mfano mozila au opera mini inanuambia you have 4 virus...
Au kama hivi...
Wakuu naomba mnisaidia, nikifungua mtandao wowote,hata facebook etc picha na hata maneno yanaonekana kama yamevutwa na hayaonekani kabisa.
Ninatumia komputer, sijajua ka ni virusi au ni nini...
Wakuu kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa lenye viwanda. nianomba mwenye link nzuri ya window activator yoyote anisaidie hasa kama una KMSAOUT LITE nimesumbuka kutafuta namna ya kui...
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepiga marufuku uingizaji na usambazaji wa simu za mkononi za Smartphone Samsung Galaxy note 7 kwa kuwa zina matatizo ya betri.
TCRA pia imewataka wananchi...
App za kwenye simu huwa nzuri na hupendwa na watu kama ukipata wazo zuri la kuweka katika hiyonapp.
Sasabasi mimi nimepata wazo na kwa mujibu wa mawazo yangu na watu wangu wa karibu...
Nilinunua friji yangu aina ya candy kubwa mtumba nikaiwasha kwa 3 month bila tatizo shida niliyoiona ni thermostat ilikuwa hijizimi na kuwaka kama nyngn, tatizo limejitokeza baada ya kuizima...
Wakuuu na wataalam humu ndani poleni na majukumu....jamani nisaidieni,haka ka simu kangu nimekaflashi mwenyewe lakini touch screen haifanyi kazi vizuri,yani uki touch sehemu unapohitaji yenyewe...
Salaam wadau,
Sasa bana, kuna mtu nataka nimuaibishe kwa uongo na uzushi wake.
Hivyo ninahitaji msaada kidogo. Msaada wenyewe ni jinsi ya ku recover baadhi ya picha nilizopiga na simu yangu...
Habari za Leo wana JF
Naomba msaada wa kiufundi wa king,amzi cha startimes
Asubuhi kilikuwa kinaonesha
Muda huu hakioneshi
Kimeandika MANENO haya
Attention
E07:channel list emply...
mwongozo huu ni jinsi ya kuondoa matangazo kwenye app.
vilevile unajumlisha kutumia inapp purchases bure, kuondoa google license na kuzuia app kutumia internet background kwa zile app unazohisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.