Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Voda wanaziuza 260,000/- kuna mzazi anayejua nitapatia wapi kwingine ile nipate kwa bei ya chini kidogo?
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Wakuu Nina jamaa yangu ana Simu yake Tecno m3 kila akiweka laini inagoma kusoma zaidi laini ya tigo tatizo ni nini!
0 Reactions
3 Replies
767 Views
Naitaji ku live stream local channel kama AZAM TV 2 na HD pia ku live stream channel zingine mfano zilipo MOBDRO kwa kutumia ANDROID ,Mimi nataka kutumia PC nifanyeje?
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Leo kuna mtu kanitumia kanitumia msg zangu za whatsapp:(:(:(:( . Kanituma link hii ya application hii https://goo.gl/c6Oaox aliotumia,sasa nimejaribu masaa 4 sasa bila mafanikio.Anaeweza itumia...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Msaada wetu wadau jana katika kutumia simu yangu nimekutana na kitu kikanishtua sana. Kwenye email set up nilikuwa najaribu kuupdate kwenye computer sasa kilichotokea ni pale nilipoona Google...
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Wadau naweza kuplay video zilizoko kwenye memory card kwa kutumia deck ya dvd ili zionekane kwenye screen.Kama inawezekana ni vifaa gani vinahitajika
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello men napataje app nzur ya kudownload youtube video wakuu pls
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Habari Ndugu wataalam wa ku design templates za blogger na hitaji tufanye kazi hapa kwa mtu anaeweza kufanya kazi hii. nimeipenda template hapa na nina penda niweze kuitumia katika blog yangu...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu naamin mnaweza kunisaidia natumia simu ya Samsam J1 ila kuanzia jana kuna tatzo limetokea niktuma msg watsup haziend wala kupokea sms watsup pia upande wa Opera min haifunguki kabisa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Bye bye whatzupp ?! Now introducin new app called TELEGRAM with highspeed msg delivering capable to send files up to 1GB, nd also it features to share Word nd powerpoint files... group capacity...
4 Reactions
36 Replies
10K Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1132167/ Msaada: Jinsi ya kuroot na kuinstall CWM recovery kwenye Tecno C9
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Simu inasumbua chaji sasa sijui niweke betri ingine ama vipi? Yani nachaji usku mzima inajaa lakini ku browrse hata nusu saa haifiki limeisha daaah naikumbuka i phone5s yangu niliyoiuza ..wadau...
0 Reactions
9 Replies
701 Views
Computer & Mobiles Technicial Solutions COMPUTER UPGRADE, REPAIR AND SOFTWARE INSTALLATION (MAC&WINDOWS)e.g Installing Windows XP, Windows 7, Windows 8, Windows 8.1 and Windows 10(Pro, Home...
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Hivi inawezekana Kuzuia mtu asiitembelee blog yangu Bure??.... Namaanisha, watu waitembelee kwa malipo?
1 Reactions
6 Replies
811 Views
Serikali ya Marekani kupitia idara ya usafirishaji [Department of Trapotation {DOT}] Ikishirikiana Federal Aviation Administration (FAA) imepiga marufuku kwa simu za Galaxy Note 7 zitakua siyo...
0 Reactions
1 Replies
858 Views
Habari rafiki , naamini umzima afya na unaendelea na harakati za kuboresha maisha yako. Karibu tena katika makala hii. Kila siku ndege zinazidi kuongezwa ukubwa kulingana na mahitaji ya binadamu...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wanateknolojia, kama tujuavyo uwepo wa hub na innovation centers katika nchi au sehemu huchangia kwa kiasi kikubwa kusukuma kasi ya ugunduzi na uongezaji ufanisi wa vifaa na mifumo ya...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Kwa anaefahamu tafadhar......nahitaji kujua bei kinanda cha chini (low quality) kwa ajili ya kujifunzia.....
0 Reactions
4 Replies
11K Views
habari wakuu unaweza pakua idm latest hapa pamoja na patch yake:https://www.mediafire.com/?7b16wgzxnnahguq
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom