Imeeleza kuwa sim hizo zinatatizo katika mfumo wa injini zake ambalo hisababisha kulipuka au kuungua wakati mwingine kusababisha madhara makubwa kwa watumiaji wake.
Kazi kwenu watumiaji wa Note7...
wakuu habari zenu....
jamani mi nna shida kama kuna mtu mwenye registration code ya data recovery ya wondershare
anisaidie au kama kuna msaada mwengine wowote kuhusu data recovery naomba nipewe mi...
Natumia line ya Zantel sasan najiuliza waliona ugumu gani kuweka hiyi sim card? imeandikwa cdma.
Huko cdma kuna kitu gani kipya sana wasiweke line?
Hizo simu za cdma ndo zikoje wakuu? inamaana...
Wapi naweza ku download ngoma za mbele au hata za kibongo zenye album art ....nilizoea itemvn.com sasa naona imefungiwa....iliyopo so kama ile ya zaman
11 October 2016
Samsung imetoa wito kwa watu wenye simu aina ya Galaxy Note 7 kuzizima mara moja huku ikifanya uchunguzi kubaini ni kwa nini simu hizo, hata zile ambazo kampuni hiyo ilikuwa...
Habarini jukwaani,
Kabla sijaenda kwenye tatizo naomba kukiri kwamba Mimi ni mshamba wa Apple devices..Ila ukali wangu wote ni kwenye device zitumiazo Android OS.
Kwa kama mwezi Sasa natumia...
Jamani kama kuna mtu kapata link ya kudownload latest version ya GBWHATSAPP (4.91) naomba aweke hapa kuna link wametoa ila inakataa
http://www.gbmods.co/?p=19
Msaada kwa aliyepata link nzuri...
Naombeni mwenye uelewa na hili anijuze, ni namna gani naweza weka link ya folder kwenye html, ili mtu akibofya hiyo link then ifunguke na kudownload files za pdf zilizopo ndani ya hiyo folder...
wadau salaam, nina simu hapa ni Huawei Y300 imepatwa na hilo tukio la kujiwasha data hata pale ninapoi disable. Naombeni suluhisho kwani chaji imekua ni tatizo sasa.
Asanteni
Wana Jamvi kwa wale wapendao sinema nimeona bora ni-share hii App na nyinyi ili mpate kuburudika "Popcorn-time" ni app ambayo unaweza kuona movie zote za Hollwood na za Kihndi na nyenginezo bure...
Yap...kama kichwa kinavyo jieleza kuna mobile games meng sana lakn toka nicheze movie mobile games bado sijaona game zuri kama vampire romance liko tofauti sana na mengne uliocheza ww jaribu...
Me kabla cjaanza kutumia tecno p3,nilikuwa nnatumia samsung c5212 nilikuwa nnadownload movie nyingi tu,lakini hii tecno kila nikitaka kudownload naambiwa niweke download manager nikijaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.