Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

1. stethoscope 2. BP machine 3. themometer 4. patella hummer Hivyo vifaa inatakiwa niende navyo chuo maana vime ambatanishwa katika form, sasa sijajua vinauzwa sh. ngapi pia vinakopatikana...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Heshima zenu wakuu komputa yangu na simu yangu imevamiwa na kirusi cha ajabu nikichomeka memory card mafaili yote yanageuzwa na kuwa ma folder mengi zaidi ya mia yenye jina la...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Mi naomba msaada wa kutoa Matangazo kwenye app niliyo install kwenye simu yangu natumia tecno c9 yaani mfano nimedownload AVG AntiVirus basi unakuta kunapicha za video wadada wanchezea simu...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa hapa Dar es Salaam, nahitaji mtaalam wa kukopi video kutoka kwenye mikanda [VHS] kwenda kwenye CD
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Simu lenovo s90 inazingua ingia internet ata uki iweka ktk 3G network bado yenyew INA soma E network naomben msaada sana
0 Reactions
4 Replies
674 Views
Baada ya kickass kufungiwa nini imekuwa mbadala wake ...mimi ni kama naumwa week ya pili sasa sina hamu ya kitu chochote. na kazini nako nimeom ruhusa maana sina hata raha ya kufanya kazi baada ya...
3 Reactions
32 Replies
7K Views
IMEI: 866 168 023 535 238 model: e303h-1
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu ilikua mwaka Jana mwezi December ndipo nilijiunga na Halotel na kuanza kutumia Huduma ya internet yenye kasi kubwa lakini baada ya takriban miezi 11 sasa nimeona iko slow kwa Mimi ambaye...
7 Reactions
159 Replies
15K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu...wandugu nataka kufuta fb account ....vp mwaweza nisaidia njia gani za kufuata ili kufuta...fb account ili mradi isionekane kweny ulimwengu wa...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji msaada wenu juu ya simu iyo tajwa hapo juu, imeanza tatizo la kujizima na kujiwasha pindi ninapotaka kupokea simu iliyopigwa, na pia wakati flani namba zinajionyesha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ninatafuta Facebook Ads Coupon
1 Reactions
0 Replies
593 Views
Naomba msaada kwa anae fahamu, tatizo ni kila niwashapo desktop yangu ushindwa kuwaka na badala yake uonyesha taa ya standby wakati wote.
0 Reactions
1 Replies
824 Views
Naomba msaaada kufaham linki ambayo naweza kudownload file ya kuweza kuapgrade android version hii mpya ya kitkat 4.4.4
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie.. nina modem ya Huawei inatumia tigo 173u-1 sasa nimejalibu ku unlock imekataa.. basi naomba mnisaidie kama kuna app katika PC inaweza kuditect modem kutumia line tofauti wakati...
0 Reactions
2 Replies
668 Views
Za asubuhi, leo nmeanza siku vibaya, Nmekosea Kutuma Meseji na nmetuma Meseji na picha (nikiwa na mchepuko) kwa mke wangu, Meseji haijawa delivered na wife yupo safarini. Mwenye ushauri wa...
2 Reactions
118 Replies
18K Views
Wahenga wanasema haraka haraka haina baraka Kampuni ambayo inaongoza kwa kutoa matoleo mengi kwa muda mmoja ikifuatiwa na Techno Leo imesitisha Rasmi utengenezaji wa Samsung Galaxy Note 7 na Seven...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Habar wakuu simu yangu ya tecno M3 Kila nikitaka kuinsall app inanipa ujumbe wa insufficient storage japo SD ina free space kama 2GB Msaada tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna a live stream recording of earth from ISS, its been on since September i think. Thought you guys might like to view it.
1 Reactions
3 Replies
678 Views
Kwa mwenyewe nayo au anaeweza nisaidie link ya kupata fuu set ya time watcher nitashukuru sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napatikana UDSM . Bei 260000 iko VIZURI. Maelewano pia ni mazungumzo kama upo tayari ni Pm
0 Reactions
5 Replies
979 Views
Back
Top Bottom