Ku recover baadhi ya picha kwenye S7 edge

Ku recover baadhi ya picha kwenye S7 edge

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
98,086
Reaction score
143,296
Salaam wadau,

Sasa bana, kuna mtu nataka nimuaibishe kwa uongo na uzushi wake.

Hivyo ninahitaji msaada kidogo. Msaada wenyewe ni jinsi ya ku recover baadhi ya picha nilizopiga na simu yangu lakini ambazo nilizifuta.

Najua inawezekana. Na naweza kwenda kwa wataalamu wakanifanyia mambo ila nataka nijaribu kufanya mwenyewe kwanza.

Simu yenyewe ni Samsung S7 edge, unlocked, international version.

Je, ni software gani nitumie? Au ni njia gani ingine zaidi ya 'restore data' ambayo naweza kuitumia?

Natanguliza shukran jazilan nyingi kwa msaada wenu.

Cc; Valentina
 
Akikuelekeza tu namchapa na yeye...

Ila achana na hii kitu bana Ngabu..

Heheeeee huwa sijaribiwi mimi ujue....niko kama Magu.

Atakoma...hadi aombe po😀.

Gotdamnit.

Halafu ngoja niende moja kwa moja kwenye duka la Samsung wakanifanyie mambo.
 
Nishakosewa heshima hapa.

Natangaza talaka rejea na wachumba wanakaribishwa hapo hapo.

Sitaki mchezo.
 
Heheeeee huwa sijaribiwi mimi ujue....niko kama Magu.

Atakoma...hadi aombe po😀.

Gotdamnit.

Halafu ngoja niende moja kwa moja kwenye duka la Samsung wakanifanyie mambo.
Ha haa utakua umemiss something amazing hebu tulia uko
 
Oiiiiiii wakuuu huku sio chitchat NAONA MKO OFFSIDE
 
Back
Top Bottom