ya windows ipi.. xp,7,8,10Wakuu kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa lenye viwanda. nianomba mwenye link nzuri ya window activator yoyote anisaidie hasa kama una KMSAOUT LITE nimesumbuka kutafuta namna ya kui download nimeshindwa nitashukuru kwa msaada wenu
tumia microsoft toolkit inamaliza kila kitu ina option ya ku-activate windows.. ukikwama ni p.m
TUPE LINKmi natumia kmspico haijawahi kusumbua
Najaribu kuangalia nafanyaje maana naitafuta ile niliyoitumia mimi sikumbuki nilii save vipi maana nilidownload nyingiunaweza nisaidia link au naweza ipataje
Mkuu kama zipo inamaana naweza zitumia hizohizokabla ya kuhangaika na crack hakikisha kama pc yako ina key za win 7 au 8 ibinue kwa chini laptop au pembeni desktop hakuna sticker za windows au key?
ndio Mkuu, kihalali unatakiwa uzitumie hizo sababu ulikatwa kama laki 1 hivi ikaenda Microsoft pindi unauziwa hio laptopMkuu kama zipo inamaana naweza zitumia hizohizo
Pamoja mkuu nimekupata vizuri!ndio Mkuu, kihalali unatakiwa uzitumie hizo sababu ulikatwa kama laki 1 hivi ikaenda Microsoft pindi unauziwa hio laptop
ndio hivyo mkuu kwa sasa kwenye mitandaoni kuna wajanja wengi wanaweka fake links, pia hawaruhusu kuweka hizi cracked software, na hacking details mtandaoni(asilimia kubwa ya server nyingi), hata mimi nilishatengeneza website maalum kwa software za ku-crack, na mambo ya hacking, account yangu ya google(gmail account) ilifungwa(disabled) nilipoteza vitu vingi i.e emails, youtube account, adsense account etckuna link nyingi najaribu kuitafuta nashindwa
Mkuu chief nina laptop hapa nimeeka window 8.1 but naona inasumbua Sana.... Nikiangalia kwenye sticker naona ilikuwa na window vistakabla ya kuhangaika na crack hakikisha kama pc yako ina key za win 7 au 8 ibinue kwa chini laptop au pembeni desktop hakuna sticker za windows au key?
inasumbua nini?Mkuu chief nina laptop hapa nimeeka window 8.1 but naona inasumbua Sana.... Nikiangalia kwenye sticker naona ilikuwa na window vista
Je window vista inapatkana au niweke window gan usinisumbue .
Specifications zake ni
HDD 250GB
RAM 2GB
PROCESSOR 2.4 GHz