Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ndugu wanajamvi, habari...napenda kuulizia kama kuna uwezekano wa kurekebisha external hard drive iliyodondoka na sasa haisomi ila inavibrate tu na kutoa "clicking-like sounds' inapochomekwa...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
CONDITION - NEW PRICE 400000/TSH Dual Sim, 4G, 3G, Wi-Fi Octa Core, 1.5 GHz Processor 3 GB RAM, 16 GB inbuilt 2750 mAH Battery 5 inches, 1080 x 1920 px display 13 MP Camera with flash Memory...
0 Reactions
0 Replies
532 Views
habar wakuu? nahitaji msaada jana nimetumiwa scanned documents kupitia gmail,ambapo hizo docs zang zpo katik pdf,so jamaa alipozisend zilikuja,katik google drive kwasabu zilikuwa na size...
0 Reactions
4 Replies
812 Views
Habari naombeni msaada ni jinsi gani naweza weka mfano research ili mtu yeyote akiingia ntandaoni anauwezo wa kuisoma
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu kwanza kabisa natanguliza shukrani kwenu nyote. Nimekuja niwaombe mnielekeze kwenye duka la samsung official liko wapi kwa hapa Dar es salaam?
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Chief-Mkwawa Naomba msaada SIMU BORA Naomba unichagulie simu bora ya kununua bajeti yangu Tsh 0.8mln up to 1.2mln napendelea sana double line kwajili ya kupunguza uzito mfukoni. History yangu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I have a one month old Galaxy Note 1. Yesterday, I woke up to a "Disconnected Battery" warning. The battery didn't charge overnight due to this warning. Looked around this forum and didn't see...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Ukikutwa na Samsung Galaxy Note 7 unapigwa faini http://tzwarriors.blogspot.com/2016/10/ukikutwa-na-samsung-galaxy-note-7.html
0 Reactions
0 Replies
548 Views
Virtual private network.... Wakuu habar yenu hum ndan... Kila siku nakiona hiki kitu ila... Uvumilivu umenishinda... Mwenye uelewa na hii mambo anijuze jinc ya kuitumia...
0 Reactions
3 Replies
792 Views
Dah halotel sasa mumezidi,yani mtandao umekua na spidi mbovu kupita kiasi mpaka kubrowse tu imekua shida na kustream ndio usiseme yani utakuta buffering kibao.Hivi tatizo lipo wapi wakuu maana...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
wakuu salama humu? Leo naomba hobbylist na wana tech wote tudiscuss kuhusu electronics haswa haswa juu ya sensors je umewah kukutana na sensor ipi ikakuumiza kichwa kufikiria kina namna gani...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Tv yetu leo nimejaribu kuigonga kwa mkono tu kwenye screen ikalia kama plastic flani hivi kama kopo la plastic, je ni tv zote za lcd screen zake ni plastic?
0 Reactions
0 Replies
473 Views
Wadau husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Nimeona tangazo la star Times kua kuna channel mpya ila mi kwangu siioni. Channel no.221 ambayo ndo wanasema ipo mi kwangu ni nat geo e, na ni...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
password 25 ambazo hutakiwi kutumia kabisa katika akaunti zako kwa mujibu wa SplashData. Ngoja tukumbushane wale wanaopenda kutumia password rahisi kama majina yao, 1234, 12345678 au qwertyui...
2 Reactions
0 Replies
996 Views
Kila ninapoingia whatsapp kinatokea kidude hicho kama sign ya smile, kilichopo hapo juu ya charts. Kitu gani hiki wakuu? Au ndo nadukuliwa? Msaada tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kufuatia kile kinachoitwa kuishiwa pumzi kwa simu za samsung note 7 ambayo ni flagship ya 2016-017,sasa ni dhairi mpinzani wake mkubwa apple atazidi kupaa ktk smartphone market huku na kuliteka...
3 Reactions
54 Replies
6K Views
Yeyote anaye uza fifa 17 full game Tafadhal 0679029498 Iwe na set up file Bei < 10000
1 Reactions
3 Replies
946 Views
Tafadhali msaada kwa yoyote mwenye kufahamu anisaidie;nimedownload movie lakini imekua zipped na RAR programme kila nikijaribu ku extract inafungua na kuleta faili lakini napojaribu kulihamisha au...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Mwenye uelewa tafadhali.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
naomba msaada kwa wale wenye kujua njia za kupata movie zenye quality nzuri kupitia simu ya android
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom