Ndugu wanajamvi, habari...napenda kuulizia kama kuna uwezekano wa kurekebisha external hard drive iliyodondoka na sasa haisomi ila inavibrate tu na kutoa "clicking-like sounds' inapochomekwa...
habar wakuu? nahitaji msaada jana nimetumiwa scanned documents kupitia gmail,ambapo hizo docs zang zpo katik pdf,so jamaa alipozisend zilikuja,katik google drive kwasabu zilikuwa na size...
Habari zenu wakuu
kwanza kabisa natanguliza shukrani kwenu nyote.
Nimekuja niwaombe mnielekeze kwenye duka la samsung official liko wapi kwa hapa Dar es salaam?
Chief-Mkwawa Naomba msaada SIMU BORA
Naomba unichagulie simu bora ya kununua bajeti yangu Tsh 0.8mln up to 1.2mln napendelea sana double line kwajili ya kupunguza uzito mfukoni.
History yangu...
I have a one month old Galaxy Note 1. Yesterday, I woke up to a "Disconnected Battery" warning. The battery didn't charge overnight due to this warning. Looked around this forum and didn't see...
Virtual private network.... Wakuu habar yenu hum ndan... Kila siku nakiona hiki kitu ila... Uvumilivu umenishinda... Mwenye uelewa na hii mambo anijuze jinc ya kuitumia...
Dah halotel sasa mumezidi,yani mtandao umekua na spidi mbovu kupita kiasi mpaka kubrowse tu imekua shida na kustream ndio usiseme yani utakuta buffering kibao.Hivi tatizo lipo wapi wakuu maana...
wakuu salama humu? Leo naomba hobbylist na wana tech wote tudiscuss kuhusu electronics haswa haswa juu ya sensors je umewah kukutana na sensor ipi ikakuumiza kichwa kufikiria kina namna gani...
Tv yetu leo nimejaribu kuigonga kwa mkono tu kwenye screen ikalia kama plastic flani hivi kama kopo la plastic, je ni tv zote za lcd screen zake ni plastic?
Wadau husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Nimeona tangazo la star Times kua kuna channel mpya ila mi kwangu siioni. Channel no.221 ambayo ndo wanasema ipo mi kwangu ni nat geo e, na ni...
password 25 ambazo hutakiwi kutumia kabisa katika akaunti zako kwa mujibu wa SplashData.
Ngoja tukumbushane wale wanaopenda kutumia password rahisi kama majina yao, 1234, 12345678 au qwertyui...
Kila ninapoingia whatsapp kinatokea kidude hicho kama sign ya smile, kilichopo hapo juu ya charts. Kitu gani hiki wakuu? Au ndo nadukuliwa?
Msaada tafadhali.
Kufuatia kile kinachoitwa kuishiwa pumzi kwa simu za samsung note 7 ambayo ni flagship ya 2016-017,sasa ni dhairi mpinzani wake mkubwa apple atazidi kupaa ktk smartphone market huku na kuliteka...
Tafadhali msaada kwa yoyote mwenye kufahamu anisaidie;nimedownload movie lakini imekua zipped na RAR programme kila nikijaribu ku extract inafungua na kuleta faili lakini napojaribu kulihamisha au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.