DC unlocker wana Unlock kwa 8$Habari!wakuu naomaba msaada jinsi ya kunlock moderm ya zte k3772z iweze zama lainia zote.nawasilisha
DC unlocker wana Unlock kwa 8$
Usisahau ku sniff AT command(s) inayotumika ili tupate trick hapa JF!
Vinginevyo hiyo ni ndo ya ki Kristo
ndoa ya Kikristo wanaitaga wadauok ila ilo nenbo la mwisho sijaelewa mkuu(vinginenvyo ndo ya kikristo)
NI mtihani ni kama Tsh.17000 na kitu hivi!ndoa ya Kikristo wanaitaga wadau
Kwamba hiyo lazima Ubaki na mtandao mmoja huo huo Vodacom!
Ila DC unlocker wanatoa Lock nimefanya hivo ila bei yake ndo pasua kichwa na bei ulonunulia ukaongeza ya Ku unlock yaani ni balaa tupu