Mtandao wa Smile ni Wasanii tu!

Mtandao wa Smile ni Wasanii tu!

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,420
Reaction score
4,763
Huu mtandao nadhani hawajielewi. Ni kawaida sana kukuta mtandao umekata bila taarifa yoyote. Nimekuwa nina experience mbaya nikiwa Dar, Mbeya na Arusha. Leo nimekuja Mbeya, hakuna network. Natamani nitupe MiFi yao.

Jirekebisheni!!!
 
Back
Top Bottom