app muhimu baada ya kuroot simu

app muhimu baada ya kuroot simu

Kabelwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
678
Reaction score
196
Wadau naomba kufahamu app muhimu ambazo zinaweza kuweka ulinzi baada ya kuroot Simu(android)
 
Wadau naomba kufahamu app muhimu ambazo zinaweza kuweka ulinzi baada ya kuroot Simu(android)
Kama unatumia superSu, lock app zote zenye root permission
2016_11_01_19-39-20-png.427886

hivyo app ikiomba permission weka pin
2016_11_01_19-38-14-png.427887
Weka access timeout (select ndogo kabisa ie 1min)
2016_11_01_19-37-43-png.427906
.Pia enable login, hii itakuonyesha commands app inazotumia, mfano hapa app ninayotumia toa screenshot inatumia command inayoitwa screencap. Command hii haina madhara kwa simu
2016_11_01_19-40-31-png.427888
Ukigundua app yenye root permission inatumia command ambayo una wasiwas nayo,ifute app hiyo
 

Attachments

  • 2016_11_01_19.39.20.png
    2016_11_01_19.39.20.png
    33.9 KB · Views: 248
  • 2016_11_01_19.38.14.png
    2016_11_01_19.38.14.png
    23.9 KB · Views: 257
  • 2016_11_01_19.40.31.png
    2016_11_01_19.40.31.png
    17.5 KB · Views: 252
  • 2016_11_01_19.37.43.png
    2016_11_01_19.37.43.png
    8.8 KB · Views: 258
Back
Top Bottom