sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Iwe ina support vibration, kwa dar sehem gan ya uhakika ntapata
hizo za waya si shauri maanake nshanunua hzo pad kama 3 nkichezea lazma ianze ksumbua kwenye kuconnect wakat pad haina tatzo wwtendio mkuu zinakubali tena ni official kuna driver zake. vyema zaidi iwe ni yenye waya. cheki amazon pad za xbox 360 ndio best seller hata kwa watu wa pc.
unazichaji au zinatumia battery? hapo mimi ndo zinaponiacha. na hizo za waya ni original za xbox? ulieka driver zake?hizo za waya si shauri maanake nshanunua hzo pad kama 3 nkichezea lazma ianze ksumbua kwenye kuconnect wakat pad haina tatzo wwte
mpaka nlipochukua wireless sahiv mwaka wa oili cjapata tatzo lolote
inatumia bettryunazichaji au zinatumia battery? hapo mimi ndo zinaponiacha. na hizo za waya ni original za xbox? ulieka driver zake?
inawezekana mkuu, mi sijawahi kutumia xbox, natumia logitech.inatumia bettry
zote ni original
driver kila ktu kipo yaan ule waya unavyozingua inakuwa mpaka uunyooshe nyooshe ndo inaconnect ukitikisika ina disconnect
nop nlinunua malaysia, natumia zile battry za sony zinakaa hadi mwezi tena kama unatumia magame ambayo hayana vibration sana kama mpira na mission ila kama unatumia ya magar sana nadhan two weeks itakuwa imekatainawezekana mkuu, mi sijawahi kutumia xbox, natumia logitech.
ulinunulia hapa hapa hizo wireless? na battery zinakaa muda gani hadi kuisha charge?