Ntaipataje simu yangu iliyoibiwa via TSRA?

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
6,629
10,707
Wadau kuna simu nimeibiwa katika mazingira ya kutatanisha sana, na kwa bahati mbaya siijui IMEI no yake ila mara ya mwisho nilikua naitumia kwa laini ya Halotel

Aliyeiiba kaiba pamoja na laptop na vitu vingine vya thamani, kwa vyovyote atakua ni mtu wangu wa karibu kwa mazingira tunayo kaa

Naomba ushauri wenu kuna namna yoyote naweza kufatilia kujua nani anaiyumia hiyo simu kwasasa
 
Pigs simu huko Halotel au TCRA wape namba yako hiyo ya Halotel wakuangalizie IMEI zilizotumika na hiyo namba alafu kwa kutumia hizo IMEI (kama laini ilitumika kwenye simu zaidi ya moja) ndizo utazitest kuona ya simu yako ni ipi kwa kutuma kila IMEI number kwenda namba *150*90#,

I hope nitakuwa nimesaidia kidogo
 
Wadau kuna simu nimeibiwa katika mazingira ya kutatanisha sana, na kwa bahati mbaya siijui IMEI no yake ila mara ya mwisho nilikua naitumia kwa laini ya Halotel

Aliyeiiba kaiba pamoja na laptop na vitu vingine vya thamani, kwa vyovyote atakua ni mtu wangu wa karibu kwa mazingira tunayo kaa

Naomba ushauri wenu kuna namna yoyote naweza kufatilia kujua nani anaiyumia hiyo simu kwasasa
NENDA HALOTEL WATAKUSHAURI VIZURI ZAIDI
 
Pigs simu huko Halotel au TCRA wape namba yako hiyo ya Halotel wakuangalizie IMEI zilizotumika na hiyo namba alafu kwa kutumia hizo IMEI (kama laini ilitumika kwenye simu zaidi ya moja) ndizo utazitest kuona ya simu yako ni ipi kwa kutuma kila IMEI number kwenda namba *150*90#,

I hope nitakuwa nimesaidia kidogo

Thanx mkuu
Ngoja nikairudishie no yangu ya halotel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom