Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,629
- 10,707
Wadau kuna simu nimeibiwa katika mazingira ya kutatanisha sana, na kwa bahati mbaya siijui IMEI no yake ila mara ya mwisho nilikua naitumia kwa laini ya Halotel
Aliyeiiba kaiba pamoja na laptop na vitu vingine vya thamani, kwa vyovyote atakua ni mtu wangu wa karibu kwa mazingira tunayo kaa
Naomba ushauri wenu kuna namna yoyote naweza kufatilia kujua nani anaiyumia hiyo simu kwasasa
Aliyeiiba kaiba pamoja na laptop na vitu vingine vya thamani, kwa vyovyote atakua ni mtu wangu wa karibu kwa mazingira tunayo kaa
Naomba ushauri wenu kuna namna yoyote naweza kufatilia kujua nani anaiyumia hiyo simu kwasasa