Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Guys msada please naomben mnisaaidie sites za ku downloadia seasons ambazo hazina longo longo
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau anayejua jinsi ya kuflash itel
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu naomba ushauri kwa yeyote anayoijua au alishawahi kutumia photocopy machine iitwayo xerox P255,Upatikanaji wa vipuri vyake,wino na bei ya vipuri.Je inafaa kwa matumizi ya kuchapa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu kuna anayejua kuhusu PayPal naomba anijuze
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ninatafuta mtaalamu WA kutengeneza app Za Android
0 Reactions
3 Replies
903 Views
Wadau, Habari za mida hii, ningependa kuwatangazia kuwa Ile offer ya website na System designing bado inaendelea. Tunadesign vifuatavyo. 1)Website 2)System za shule na vyuo 3)Forums 4)Datting...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
Habari wakuu Naomba mnisaidie site ambayo nitaweza kudownload vet books mf. natafuta kitabu kinachoitwa veterinary parasitology by MA.Taylor,RL.Cool,RL.Wall kwani nimejitahidi binafsi kutafuta...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Natumia Itel 1452, whatapp kwenye simu yangu haitumi message ila napokea tu both toka kwa group na individuals ila mimi siwezi tuma kokote. Nimerboot simu, nime uninstall na...
1 Reactions
1 Replies
960 Views
Naitaji msaaada nafunga dish ya star time natumia satellite finder na sasa sijajua kama satellite finder yangu ni nzima au imekufa
1 Reactions
2 Replies
876 Views
Kwa Majibu wa account yao ya instagram leo, kampuni ya simu ya Ttcl imekuwa kati ya makampuni machache Africa kuzindua hii 4.5G au LTE-Advanced Pro, Mlimani City leo. Yenye theoretical 1Gbps...
1 Reactions
36 Replies
11K Views
Habari humu..?? Anayeuza verified non-hosted adsense account tuwasiliane hapa kwa biashara 0766095305 au 0742021843
0 Reactions
7 Replies
779 Views
Kichwa kinajieleza chakufanya bonyeza hapa DOWNLOAD
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari ya jumamosi,Hivi game gani zuri la Euro truck kwenye smartphone
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikuwa najaribu kuangalia bei za data kwa mitandao tajwa hapo juu, nilichogundua ni voda na tigo bei zao zafanana kana kwamba walipeana copy za bei mpya baada ya kupanga. nitaweka picha za bei...
9 Reactions
79 Replies
20K Views
Mwenye kuzifahamu aina hizi za tv naomba anipe abc zake maana nataka kununua,je zipo vizuri?
0 Reactions
6 Replies
6K Views
✍️
0 Reactions
5 Replies
624 Views
Naombeni anayejua njia za kublock Ads kwenye instaled Apps anisaidie. Maana nimedownload Ads Blocker ila nayo haisaidii
0 Reactions
1 Replies
615 Views
Wakuu mambo niaje, Nahitaji ku install app ambayo nikiplay wimbo popote na kuifungua hiyo app iwe na uwezo wa ku-play lyrics yake automatically. Msaada wenu wakuu.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Mambo Kuna mtu yupo uarabuni(saudia), nimemuomba anichukulia iphone 5s, lakini ninachanganya kati ya iphne 5s na iphone 5se(sijui ipi ni bora zaidi) naombeni msaada kwa mnaozijua vizuri, naomba...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom