Msaada please Galaxy note 4

Msaada please Galaxy note 4

Matanzia kizebazeba

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
654
Reaction score
630
Msaada ndugu zangu simu yangu galaxy note 4 model Sm-N910A imekata network mtandao hausomi lakini internet naweza kutumia.

Kwa awali iligoma kussuport line ya voda nikiweka inaandika phone not allowed [HASHTAG]#mm6[/HASHTAG] lakini nikiwa dar inafanya kazi line ya voda vizuri nikahisi ni sababu ya line yangu ni 4g na mikoani haipo nikawa natumia halotel na Tigo lakini japo halotel hawana 4G lakini nikiweka line ya halotel yenyewe inasoma 4g,

Kibaya sana sasa ni line haisomi network kabisa hata nikiweka line gani zaidi itaandika phone not allowed [HASHTAG]#mm6[/HASHTAG] lakini nikiwasha data naingia net kama kawaida ila nikipigiwa simu haziingii wala sms za kawaida kutoka..

Msaaada please nifanyeje
 
Back
Top Bottom