Msada wa API

Msada wa API

proxy

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
1,481
Reaction score
1,355
Wakuu naomba kujua kama hizi kampuni za simu zinatoa API na taratibu zake zikoje?
 
Hizo ni api guide sio api. Wakati nadownload api nikaletewa pdf hivyo Nimedownload

tigo_online_payment_api_guide.pdf

nimeipitia juu juu nikangundua wanatumia http/https protocol na json.
Developer wanatakiwa kutumia guide hizo kuandika api za mobile app( e.g android),web app na desktop software,hapo language kama java,php,JavaScript,python,c++ ie zinatumika.
 
Back
Top Bottom