Habari; napenda kufahamu mshaara wa clinical officer.
1. Mwenye degree ya clinical officer sio medicine
2. Mwenye diploma
3. Mwenye certificate.
Asanteni.
Kuna Telecom Engineer anapatikana, yupo competent kwenye issue zote zinazohusiana na telecom kama ifuatavyo:-
1.Security system
-Door access control design, implementation and configuration...
Wametoa majina ya usaili bila kuwatumia message au kuwapigia simu wasailiwa...na kutoa kwenye mtandao wao tu .....wanadhani wote wanapata access ya internet wakati wote ili kuingia kwenye mtandao...
Tunatafuta kazi za kufanya usafi katika sehemu mbali mbali hapa Tanzania.
Tunafanya usafi katika maofisi ,shule , vyuo , melini na kwenye sherehe.
Kampuni yetu imesajiliwa kwa shughuli za usafi...
Kampuni yetu ya HECI INVESTMENT LTD, iliyopo Dar es Salaam, inatafuta mtaaalm wa Lishe mwenye sifa zifuatazo:-
1. Awe Mtanzania
2. Awe na umri usiozidi miaka 40
3. Awe angalau na diploma ya...
Tembelea mtandao wako wa jfasta.com majina yote yanapatikana kwenye ukurasa wa selection status. tembelea jfasta.com sasa!
> nenda google andika jfasta.com utatupata kirahisi.
>pia kupitia...
Hivi visa vimenikuta mara nyingi sana, yaani mlinzi anataka umpe bahasha afungue aisome kwanza ili athibitishe kama unaomba kazi au mambo mengine.
1. Leo nimetembelea pale TBC- tazara huu mkasa...
VIWANGO VIPYA VYA MISHAHARA KUANZIA JULAI 2014
TGOS A
TGOS A 1. (Sh240,000), TGOS A 2. (Sh245,600), TGOS A 3. (Sh251,200), TGOS A 4. (Sh256,800), TGOS A 5. (Sh262,400), TGOS A 6. (Sh268,000)...
Habari zenu wakubwa,
Napenda kuwauliza kuhusu matumizi ya transcripts serikalini, je unaweza kuitumia kufanyia usaili katika kupata ajira ya serikali?
Na kama tayari ni mtumishi wa serikali, je...
Nipo ubungo ni msichana wa miaka 24 ,Elimu yangu ni form 4 ,nahitaji kazi yoyote halali hapa hapa dar . Kama kuuza duka, n .k
Kwa mawasiliano nifate pm
Asanteni
Habari ?
Natafuta mtu wa IT anayeweza kudesign website. Awe Mwanza na awe mtu anayejua anachofanya.
Pia natafuta logo designer, awe mwanza pia.
If you think you are the one please, njoo PM...
Tunahitaji Mfamasia aliyesajiliwa na baraza la Fsmasi, Tuko Arusha na DSM!
Malipo ni maelewano kwa mujibu wa mkataba.
Mawasiliano; 0754809682. Au nenda private SMS kwa mawasiliano zaidi.
Juzi niniwaonya juu ya NGO inayoitwa ECHO-AID ambayo ni yakitapeli, baada ya kufanikiwa lengo lao leo hii wametangaza tena kazi wakijiita ECHO-AIDS (wameongeza 'S' kwenye website mpya lkn email ya...
Habari wadau
Nauliza niwapi hapa dar es salaam naweza kupata sehemu y kufanya internship ya mambo ya IT & Computer science..?
Mm nipo vizuri sana kwenye mambo ya website design, Netwoking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.