msaada tafadhali, hiv kbali cha uhamisho kutoka kwa katbu mkuu-utumishi hutumwa kwa njia ipi (n posta au) na je huchuchua muda gani hadi kufka? maana mm kbal cha uhamisho kltumwa kwa mwajir wangu...
Wakuu Mamlaka ya usafiri wa anga kuna kazi wametangaza
==============================
The Tanzania Civil Aviation Authority, (TCAA) was established by the enactment of the Tanzania Civil...
Habarini za jioni wana JamiiForums,
Samahani naombeni nisaidiwe hili nilifanya application TRA kwa hizo nafasi za assistant tax na wameniita (waamenitumia email) na kunipigia simu utata wangu ni...
natafuta IT tech
awe anajua kutengeneza website & designing.kampuni yangu ni ndogo ndio inaanza hivo awe anakaa Temeke ili kupunguza gharama za usafiri.pls inbox me .this work from home job/part time
looking for IT tech for part time job
duties
Website Design
Search Engine Optimisation
Social Media Marketing
Digital Marketing
Pay Per Click (PPC)
E-Commerce & Online Shop
Design & Branding
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangwala.
Serikali inapanga kuajiri watumishi wa sekta ya afya zaidi ya 10,000 mwaka huu wa fedha 2015/16, ili...
Habari wanajamvi,
Kuna Dada yangu ana certificate ya nursing. Ame'volunteer hospitali fulani hapa Dar zaidi ya mwaka ila hakuweza kupata kazi. Naomba kma kuna yeyote anaweza kunisaidia kwa hili...
Hivi ni kwel kuna ajira mpya zinatangazwa au soko la ajira limeshajaa sasa kinachofanyika ni kubadilishana wafanyakazi maana kila kazi experience at least 3 years sasa swali ni je hawa fresh...
Nilipenda kusikia Sera ya rais wetu Sera ya HAPA KAZI TU
Sera hii nilijua inamlengo wa kimapsna zaidi na kazi au ajira kwa vjana na watu wote kwa ujumla lakin cha kushangaza naona kama imelenga...
Habari wadau..? nauliza kuna alieitwa au kupata tetesi za hizi bank mbili wanaita lini interview, FNB nafasi za Dodoma na Arusha, Mwalimu sijui hata ni Branch zipi... Msaada wakuu
Wakuu nataka kuanza door to door campaign na CV zangu mkononi. Sasa nataka kujua makampuni, taasisi za binafsi na serikali zilizopo Bongo ili kuanza kupeleka maombi.
Naomba kama unafahamu taasisi...
Hellows,
I am a consultant at Oriflame Beauty products company based in Tanzania.. Am looking for business partner to work with from Kenya...
Our company products range in makeup, skin, body...
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Hard disk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
Habari za Karume day?
Wapishi wenye uzoefu wa kupika vyakula safi na vyenye ladha nzuri kwenye shughuli kama harusi,send off,kitchen party,misiba,mikutano nk
Tupo full na vifaa vyetu kama food...
Habarini,
Kwa wale mlioapply post mbali mbali muhimbili university mwaka huu majina yapo kwenye website yao.
========================
Shortlisted applicants for practical and written...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.