bint white
Senior Member
- Oct 4, 2015
- 162
- 314
Nipo ubungo ni msichana wa miaka 24 ,Elimu yangu ni form 4 ,nahitaji kazi yoyote halali hapa hapa dar . Kama kuuza duka, n .k
Kwa mawasiliano nifate pm
Asanteni
Kwa mawasiliano nifate pm
Asanteni
Kumfata MTU pm ndio ustaarabuShida ya kwako halafu tena unaleta mashart ufuatwe PM?
Au kuna jingine zaidi ya kutafuta kazi?,just thinking louder!!
Amemwambia hana mchumba?Mbona una jam sana nyuzi za kutafuta kazi!? umri umesonga nakushauri kabla jua halijazama jizoeshe MMU jukwaa utapata mchumba