Habari zenu waungwana, naomba mnijuze watendaji wa vijijini wanalipwa kiwango gani cha mshahara.
TGS B-kama ni certft
TGS A-kama ni std7
basic salary 362,500
mtendaji kijiji III-laki 3na 45
mtendaji kijiji II-laki 4 na 50 mpaka 70
laki 3?.,......wewe si afadhali hiyo hela ukanunue GAZETI UJIPEPEE...
laki 3?.,......wewe si afadhali hiyo hela ukanunue GAZETI UJIPEPEE...
Mkuu zimetoka nafasi za kazi?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
laki 3?.,......wewe si afadhali hiyo hela ukanunue GAZETI UJIPEPEE...
Thnx kwa kunijuza god bless u
Hakuna mwenyekiti wa kijiji std7 sikuhizi ,kuna mwenyekiti wa kijiji III level ya cert na mwenyekiti wa kijiji II level ya degree/adv dipl/diplo.
Hakuna mwenyekiti wa kijiji std7 sikuhizi ,kuna mwenyekiti wa kijiji III level ya cert na mwenyekiti wa kijiji II level ya degree/adv dipl/diplo.