Labda Mtakua mmefeli sana so wanaona aibu kuyaweka.
Mambo bro naomba quote ya bei za hapo NIT nataka kumpeleka dogo akasome hapo.plz help meJamani Mbona Chuo cha NIT hawaweki matokeo mpaka sasa licha ya walisema watatoa Baada ya wiki Moja. Na Sasa wiki imepita
Wametangaza nafasi upya wewe hajaona?
Kuwa na tabia ya kupitia mitandao mingi na siyo JF tuu
Mambo bro naomba quote ya bei za hapo NIT nataka kumpeleka dogo akasome hapo.plz help me
We ulitakaje kwn?jf bna!! kila mtu na shida zakeee???