Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Amani kwenu wadau! hivi hii imetulia kweli?, Kama ikitokea mwanaume ameenda nje ya ndoa ishu inaonekana ni simple tofauti na mwanamke akitoka nje ya ndoa! Naomba mnisaidie kwanini mwanamke akikosa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana-JF, Heshima mbele! Hivi kuna ukweli wowote kwamba ikipiga konyagi, valeur, gordon ama gin/spirit yoyote, game yake inakuwa si mchezo?????? Is it scientifically proved? Je wasiokunywa...
0 Reactions
62 Replies
15K Views
Jamani napenda kuwashukuru sana tena sana wale woooooooooooooote tuliokutana fraideiiiiiiiiiiii,ilikuwa pouwa kufahamiana na kubadilishana mawazo mazuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,yale malengo plz...
0 Reactions
182 Replies
13K Views
jamani sinahakika kama limejadiliwa hapa. Ni hivi mwaka jana nilibaatika kuwa na wanawake 3 kwa nyakati tofauti nilipoanzana na wakwanza baada ya miezi 6 akaanza kuniambia anahisi nimjamzito...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
asubuhi tu nimesikia habari moja redioni. dada kaolewa tatizo likawa kupata mtoto. mwisho wa siku ikajulikana mwanamke ndiye mweye tatizo. bahati nzuri mwanaume alikuwa mwelewa, akamchukulia poa...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wadau, Mara nyingi watu wanaosafiri sana (hasa watumishi wa taasisi za umma) hupenda kufikia hoteli fulani na kuzoeleka vizuri tu na wenyeji; nimejiuliza sana kuhusu tabia zetu tunapokuwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Tufahamishane jamani
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifikiria hii dhana ambayo nimegundua ipo sana na kwa watu wengi kuwa inapotokea mwanamke au msichana akawa anamegwa sana mtaani kwao au maeneo anayoishi huonekana ni malaya, kicheche...
0 Reactions
51 Replies
7K Views
HOT SISTER IN LAW True story, I was happy. My girlfriend and I had been dating for over a year, and so we decided to get married. My parents helped us in every way, my friends encouraged me...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Mpenda Chongo huita makengeza,waungwana leteni maoni hapo mnapaonaje ?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani naomba anayejua mtu huyu alipo anisaidie kumpata. Anaitwa Mr Carlos Sendwa, alisoma PCB sekondari ya Pugu STream G 1980-82. Wakati huo mimi nilikuwa PCB stream F, mwenyeji wa Mbeya. Wazazi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakenya kiboko
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Well.. sijaelewa kwanini watu baada ya kupoteana hasa walioachana katika mazingira mazuri hujikuta wanatumia kisingizio cha "kukumbushia". Cha kushangaza mmoja wao au wote wawili wanaweza kuwa...
0 Reactions
78 Replies
9K Views
Ni jambo la kawaida kabisa kukuta mwanaume akijisikia ufahari endapo atabahatika kumega demu ambaye ni bikra. Dhana hii huenda mpaka kwenye ngazi ya familia kuwa wazazi hujisikia fahari endapo...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Namtafuta Dada Nuru Mkeremi, Kama ni mwana JF, nitashuru akiwasiliana na mimi, kwa kutumia barua pepe simbamwene@hotmail.com
0 Reactions
17 Replies
3K Views
jamani natumahi wale woteeeeeeeee tunaokutana leo nimewapigia cm kuwa reming plz kama kuna ambaye nimemsahau na ame ni PM no yake plz anikumbushe,mm binadam tena mwenye mapungufu...
0 Reactions
49 Replies
5K Views
Every Woman's dream husband...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wana JF nawasalimu ktk jina la Allah! Nahitaji mchango wenu katika hili, hivi suala la wanaume kuwa na maneno matamu au ushawishi mkubwa ni kigezo tosha cha kuwafanya dada zetu wasiwe strong...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wana JF nawasalimu ktk jina la Allah! Nahitaji mchango wenu katika hili, hivi suala la wanaume kuwa na maneno matamu au ushawishi mkubwa ni kigezo tosha cha kuwafanya dada zetu wasiwe strong...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
mimi sipendi kusema sana ila kwa hili napenda kuweka wazi kwanini kova anaitwa shemeji !!!!mzee kova kuna hawa polisi wako wanakuwa wakilinda sehmu za strehe ama ikitokea fujo wanaitwa mwisho wa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…