Hi good people? likizo ilikuwaje kwa wale walioenda vekesheni...fidel ;) and co.??? Yangu ilikuwa bomba...If you are reading this post, I want to thank the Almighty for your life and health today...
By Ali Mambule
RESIDENTS of Mabaale LCI Kiragga parish in Masaka district were yesterday morning shocked when they found the body of one of their fellow villager with the neck slit and private...
Mimi huwa nafawanyia research hawa viumbe kwenye mitandao mbalimbali ya urafiki na uchumba.
Mwanzoni tunachati fresh tu, linapokuja swala la kutaja sehemu nilipo, ndo hapo ninapowachezeaga akili...
Tuendelee
7 : Mkibeba fikra binafsi kwa kila mtu kutaka mafanikio yake.
Maisha ya wapenzi wengi yamekuwa yakipoteza maana kiasi cha kufikia kuchuja kutokana na wapenzi wenyewe kuwa na mawazo...
Waume zetu nao.......
Alywas; handle with care!Makosa wanaume hufanya wakiwa na wake zao kitandani
HAKUNA KUBUSU
Kuepuka kubusu lips zake na kwenda moja kwa moja kwenye erogenous zones zake...
Kuna tabia ya vijana imeanza siku hizi kwa kujiajiri kukata kucha za miguu za wake wa watu na wasichana wavivu kweli inanipa wasix2.
Nimeona jinsi mmojawapo hapa anavyokumbatia mama mguu mmoja...
Wanandugu nimeona mada ya kinyaia akiomba kupiga picha na didie drogb a wa ivory coast,bahati mbaya akufanikiwa
leo hii ukurasa wa mwisho dar leo kuna picha didie anaonekana katoka mazoezi kashika...
Akijua ufunguo wako halisi, kwake ni rahisi mno! Mke mtiriri (sensuous) anafahamu namna ya kumfanya mume wake kuwa tayari kwa ajili ya tendo la ndoa (seduce) pia ni kweli kwamba mume mtiriri...
Kumbuka!
Usione vinaelea, vimeundwa! Je, umawahi kujiuliza ni nini siri ya mahusiano yanayodumu kwa muda mrefu let say miaka nenda rudi na wahsika wakawa na furaha na kicheko bila unafiki...
Forget Viagra! Sound waves can send your sex life into orbit
Last updated at 8:19 AM on 05th January 2010
Sending shock waves through the body has been shown to improve...
Sleeping woman 'raped by a man pretending to be her boyfriend'
Last updated at 11:57 AM on 05th January 2010
Darryl Gibbons is alleged to have raped a woman while her...
Leo katika pita pita zangu K/koo nikagongana na binti mmoja ambae nilikuwa nammega 3yrs ago nilimwacha baada ya kuona level tofauti lakini yeye alining'ang'ania sana twendelee. Leo hii uso kwa...
Marafiki zangu wote wa JF wakwapi??? Mie nimeboreka kweli leo sina raha niko tuu na thread za leo yani hazijanichangamsha kama inavyokuwaga. Sijui 2010 ndo imeanza hivi kwa JF??? Where is the...
Wana JF naomba michango yenu.utakuta mwanamme akitaka kuopoa demu(kifaa) ataanza kumlaghai kuwa yeye anafanya kazi tra na ukweli ni kwamba huyo bwana ni mbeba mizigo bandarini(kuli).Kwa kufanya...
Amini usiamini nikiwa Vekesheni nikakumbana na mrembo mmoja maeneo ya Mwanjerwa huku na huku ikabidi nimvute chemba kidogo katika maongezi ya hapa na pale story za mapenzi nikamtumbukizia JF...
Inasemekana wasichana wa mijini wanadanganyika zaidi kwa magari. Msichana anakubali kuwa na uhusianao na mwanaume kwa sababu amegundua kwamba ana gari, hata kama anajua kwamba hilo gari sio la...
BeautifulPeople.com axes holiday weight gain members
The site is unabashed about its selection criteria
Dating and social network site BeautifulPeople.com has axed some 5,000 members...
Heri ya Mwaka Mpya wapendwa!
Naona sasa huku kupita pita kwangu kwenye majumba ya watu kutanitokea puani. Nimekumbuka mwishoni mwa mwaka jana kulikuwa na mada nzuri ya whether its necessary kwa...
There is a "lack of awareness" over condom sizes
A survey of more than 1,000 men in India has concluded that condoms made according to international sizes are too large for a majority of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.