Ukiuliza Biblia jibu ni "ndiyo"! Sasa nimejiuliza.. kwanini hayo maandiko hayasemi
Mke mzuri
Mke mrembo
Mke mwenye figure ya namba 8
Mke msomi
Mke mwenye sura ya umodo
Mke mkamilifu
Mke mtulivu...
Huwa nashangazwa na tabia ya huyu mchumba wangu. kila ninapokuwa mbali naye kwa shughuli za kikazi au za kifamilia ( kutembelea ndugu mkoani kwetu) kwa muda zaidi ya siku tatu, nikirudi wakati wa...
Recently nimepata promotion nikakwenda department nyingine.Aliyekuwa bossi wangu ambaye
nilimuheshimu sana kama baba yangu akanipigia simu akiniambia twende lunch.Tulipoenda lunch akanieleza...
considering the fact kwamba i am now SERIOUSLY committed myself to me,my life,my family and i
can someone please give me tips on HOW TO DUMP A GUY(external works).......?!
ahsanteni sana...
WAGANGA WENGI WA KIENYEJI WAMEKUWA WAKILINADI KUWA WAO WANA DAWA ZA KUONGEZA MIVUTO ILI UPATE MSICHANA UMTAKAE.
USIDANGANYIKE NA ULAGHAI WA WAGANGA, HAPA PANA VIJI MAMBO VICHACHE VYA KUKUSAIDIE...
Semeni tu kama kuna mtu kapewa talaka tutasuruhisha
Kama kuna mtu bado anashindwa kutongoza tutamfundisha
kama kuna mtu anatafuta mchumba wapo wamejaa tele
Kama ndoa zina migongano wapo wataalam...
wakulu nimekuwa najiuliza kila mara kuhusu hili lakini no answer sijui na wenzangu mumewahi tokewa?Lini umekasirishwa na mwenza wako na kudiriki kumwambia wewe ngoja tu siku yako inakuja...mie...
Jamani nimesikia leo hili swala nkasema naweza pata mawazo hapa yenye maana
kuna topic walikuwa wakijadili clouds fm ,,lakini ikanigusa nina mtoto wa mama mdogo ana miaka 23 mpaka leo ananuliwa...
Wakuu nimekaa tangu ijumaa kuu nikichungulia kama vile siamini kwamba JF ilikua likizo... i missed every inc and every second of those days... yes i was on holiday, but i really missed every bit...
Dada zangu hivi kwa nini wengi wenu sio wote lakini before marriage mnakuwa wapole na kuonesha nia ya mme mtarajiwa kuvutiwa na kuolewa nanyi lakini mkiwa ndani ya nyumba basi yanaanza makucha...
Jamani avumaye baharini kumbe papa wengine wamo,mchumia juani hulia kivurini,mganga na njaa hafi masikini...ni tatu lkn zina maana kiao jamani...nipeni hoja zenu nyie kinadada maana wengine...
Wapenzi habari za masiku kadhaa.Nimatumani yangu kuwa wote tu wazima na tunaendelea vizuri na shughuli zetu za kila siku...Nilukuwa mbali kidogo nba jukwaa hili kwa sababu mbalimbali zilizokuwa...
Christmas is glorious
Of its Holy gift we sing
Of a manger and baby
Our blessed newborn king
Thanksgiving is so grand
Our thanks to God we give
For His unending bounty
Gracing each day we live...
Jamani shanga ziendelee kuheshimiwa kama zilivyoanza.hivi sasa kumekuwa hakuna kabisa ladha wala umuhimu wa shanga kiunoni!!tusifanye kama maonyesho ya sabasaaba juzi nilkuwa mr price wana ounguzo...
Mara nyingine unaweza kuta mke au girlfriend wako anakujulisha wanaume wanaomtokea na mara nyingine hao wanaume ni marafiki wako sana au kiasi! Lakini mimi nahisi kuwa huwa kuna uwezekano wa...
Mara nyingi wapenzi tunaaminiana sana kuwa kila kitu kinachotuhusu tunawekeana wazi. Lakini, je wewe mwana JF kwa upande wako, unadhani mwenzio amekuwa muwazi kwako kwa kiasi gani? Je, wewe...
Amepatwa na ugonjwa unaoitwa PANGUSA;-nia aina ya ugonjwa unaopata wanaume sehemu za siri za mbele unakuwa kama umepata mmba kali ukifuta inazidi kulika kama kifuto cha pencil mwishowe inakuwa...
The party is due to be held at Arusha.
It intends to introduce all my former girlfriends to friends and co workers and perhaps to my wife.
Invitation has been sent to all those I remembered to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.