komamanga gani mama walisema?nalisifu komamanga kwa ladha ya mdomoni
lenyewe ni tumaini kwa utamu namba wani.....
annina
Lakini kuwa makini,Nalisifu Komamanga kwa ladha ya mdomoni
Lenyewe ni tumaini kwa utamu namba wani.....
Annina
Lakini kuwa makini,
Lisije ibiwa na anti,
Likapotea machoni,
Kama lile la awali,
Ukaja kulia kwa chozi!
karamu imeshaliwaNimechelewa jamvini karamu imeshaliwa...........?
Annina
G, for Christ sake stop this, or otherwise something happens!karamu imeshaliwa
lakini kidogo UMEBAKIZIWA
japo tunda si lako,lakini WAWEZA PEWA
HA HA HA HA!G, for Christ sake stop this, or otherwise something happens!
Itakuwa mistake kubwa, please count more 10 days aheadHapa naona kumamanga litaliwa kabla ya pasaka..............lakini kumbuka una siku kama 50+ hivi kijana.