zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,875
- 1,216
mkioana mpaka mtangazane kwa watu ili kila mtu ajue huyu wa fulan ili ujijue unafahamika,na uogope kutoka nje ya ndoa mpaka kwa kuiba sana,UMUHIMU WA NDOA NI UPI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali as time goes by ataizoea tu JFPole sana, uwezo wako wa kufikiria umeishia karibu sana.
Atazoea mijadala ya ndoa?Usijali as time goes by ataizoea tu JF
Karibu JF, dah nimetoka kapa kabisamkioana mpaka mtangazane kwa watu ili kila mtu ajue huyu wa fulan ili ujijue unafahamika,na uogope kutoka nje ya ndoa mpaka kwa kuiba sana,UMUHIMU WA NDOA NI UPI.
Lol!!1 Habari yako binafsiAtazoea mijadala ya ndoa?
Itabidi ukodi billboard moja pale mtaani tena lile kubwa lililokuwa linatumika kwa ajili ya kampeni za CCM hilo litakufaadahhhh
hivi kumbe ukioa/olewa unahitaji kuvaa mabango
skujua...
hii mpya..
Tuanze na weweyaani watu kila kikicha wanafikiri ndoa tu hata kujadili kwa siku naingiza sh. ngapi
Mkuu ile ndoa yako ulifunga ili watu wajue kuwa umeoa au kumkimbiza dem wako watu wasikumegee au ni janja ya kukufanya uibeUsijali as time goes by ataizoea tu JF
mkioana mpaka mtangazane kwa watu ili kila mtu ajue huyu wa fulan ili ujijue unafahamika,na uogope kutoka nje ya ndoa mpaka kwa kuiba sana,UMUHIMU WA NDOA NI UPI.
Nilikuwa nasubiria kituko kutoka kwako kama nilivyotegemea lol!!!
Teh Teh Teh aisee acha udaku banaaMkuu ile ndoa yako ulifunga ili watu wajue kuwa umeoa au kumkimbiza dem wako watu wasikumegee au ni janja ya kukufanya uibe