Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mumeo anatoka safarini unapotoa nguo kwa sanduku unakutana na chupi iliyochokachoka ambayo si yako. Ukiwa mwanandoa utafanyaje?
0 Reactions
41 Replies
5K Views
nasikiliza kipindikimoja wanadai wanaofanza duty za usikukurudi asbh wengi wamepoteza imani kama awapo kwenye ndoa na hata waliopo wanaishi kwa matumaini ukiwa kama mwanandoa siongeleei...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inasikitisha sana mtu kaoa tena ndoa ya kimungu na kwa heshima kubwa halafu unamkuta kwenye madanguro na mausiku klabu, kikubwa anatafuta malaya na hana ugomvi na mkewe kisa tamaa tu. kuna mana...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Yaani nasikitika sana, hadi naoa sijawahi kugombana kwa ajili ya mwanamke, sijui nifanyeje ili nipate wa kuzichapa nae kwa ajili ya mamsapu.
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Kuna jimama moja apa mtaani limekuwa likarimu sana kwangu hata akisafiri nyumba yake ananiachia mimi,zawadi kibao,na mkwanja ananiachia,jana ndo kafunguka eti ananipenda ikanibidi mtoto wa kiume...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
jamani hebu tulitazame hili kwa kina maana binadamu tumetofautiana kwa mambo mengi.
0 Reactions
65 Replies
8K Views
Salamu kwenu waungwana na heri ya mwaka mpya. Jukwaa letu hili mara nyingi limekuwa likilalamikiwa kuwa linajadili mada ambazo hazikupaswa kujadiliwa na great thinkers (tafsiri ya nani ni great...
1 Reactions
227 Replies
15K Views
Wakubwa shikamooni Wadogo marakhaba.. Wengineo mambo zenu.. Nway mie ningependa kuuliza Nyimbo gani za harusi nzuri ..? Au nyimbo gani zilikuwa kwenye harusi yako.? Na kama bado hauja...
4 Reactions
132 Replies
21K Views
Jamani mapenzi nikitu muhimu na mapenzi nikitu chakushikwa kama chupa yenye madini ya nyukilia!!Namapenzi nikitu kigumu kuyahandle hivyo vyote nikuonyesha mapenzi nikilakitu kwenye maisha...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kufuatia utafiti uliofanywa East, Southern and Western Africa, imegundulika kuwa wanawake wenye 'maamuzi ya mwisho' juu ya sex ndani ya ndoa zao hupata huduma hiyo less than wale ambao waumezao...
2 Reactions
101 Replies
10K Views
Then tutabadilishana mawasiliano mengine.
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Sijui lengo la vyandarua hivi vya JK ni nini zaidi ya kutukinga na malaria,.... Naona kama vina punguza nguvu za kiume ingawa kwenye tangazo lao wana kana kata kata. Toka nimeanza kutumia...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Jamani nimekuwa nikijiuliza sana kwa nini wanaume huwa tunapenda sana, kila jambo baya linalohusiana na mapenzi, kuwazushia wanawake kuwa ndio chimbuko la matatizo. Kwa mfano utakuta mtu anafanya...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Kuna majamaa wawili ambao wanafahamiana kwa muda mrefu tangu wakiwa masomoni, kwa bahati nzuri au mbaya wamejikuta kila mmoja anatarajia kufunga ndoa kwasababu zisizozuilika mwezi wa kumi na moja...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
LONDON, Sept 30 (Reuters) - The wife of an MP was found guilty of burglary on Friday after being caught on camera breaking into his lover's home and stealing her kitten. Christine Hemming, 53...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Jamani niko serias natafuta private consultant ambae anaweza kunishauri. Nataka nianze maisha yangu upyaa.nina mambo mengi kichwani nahisi kichwa kinataka kuburst. Aweze kunishauri katika nyanja...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
[expired]
0 Reactions
32 Replies
3K Views
tafadhali msaada wako unaweza kuinusuru roho ya dada huyu kuna shost wangu anampenda sana mume wa mtu kinoma yani na kabla ya kuingia ktk mahusiano na huyo jamaa aliambiwa ka jamaa anamke na mtoto...
1 Reactions
156 Replies
9K Views
Katika baadhi ya maeneo ya uchagani hasa Rombo, kuoa suria ina maana kuishi na mwanamke bila ndoa. Sasa nakumbuka staili iliyokuwa inatumika mabayo kuna jamaa yangu ananiambia anataka akaipraktiz...
3 Reactions
37 Replies
8K Views
kuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama 1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani...
1 Reactions
63 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…