Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

"Sasa Imekuwaje shoga?" Anayeulizwa hajibu badala yake anatoa kilio kidogo cha kwikwi na kufuta Machozi kwa kanga yake. Baada ya muda kidogo anatulia na kuanza kujibu. Natega sikio, niko kando...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina umri wa miaka 35 natafuta mchumba ambaye ni muathirika. Mimi mwenyewe ni muathirika nimegundulika mwaka huu mwezi Feb. Kazi yangu ni mfanyabiashara.
10 Reactions
98 Replies
13K Views
if you don't love me now, don't lome later, b coz rater iz my creater.......!?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sijui nikiite kipaji au nguvu au balaa ..... Kaka yangu wa kuzaliwa ana miaka 38 hajaoa, ana watoto wengi tu. Kaka yangu huyu amekuwa akizaa na wanawake wagumba au matasa kwa watoto wake wote...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
mamboz wana jf mimi ni wana jf mwenzangu mimi ni mdada natafuta marafiki wa kuchat na kubadilishana mawazo;
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Ni kweli beyonce mjamzito?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
je kumweleza mtoto mdogo ,kuwa ulipokuwa kijana ulikuwa ,natabia mbaya kwa jamii mfano "mimi nilikuwa mwizi kitu hakinipiti,"strarehe napenda hasa ngono ,pombeka sana dansi mpaka asubuhi. je kuna...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
JF member mzima na ukubwa wote unaogopa nisikushike mkono kisa eti kuna watu unaheshimiana nao.wewe ni mpenzi wangu ni haki yangu kukushika mkono,kiuno,kukuwekea mkono begani n.k.sasa kwanini...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wadau,mwenzenu hili limenipa utata kidogo,kuna kaka fulan amepanga nyumba ya jiran na ninapoishi huyu jamaa ni mtoto pekee kwa baba na mama yake ila baba alishafariki,mama yake nae...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Hivi ni umri gan mwanaume anaweza kuwa serious kwenye mahusiano na akaweza kutulia na wewe msichana?Na msichana ukamuamin kuwa he is serious with you?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
mama yangu ndo bethi yangu,bethi dei kwenye maisha yangu..
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ni mshkaji m1 hv soon aftr kfmaniwa dem kamkacha mazma na kmwambia "kwanza ulikuwa hnridhshi" so mshkaj yko dlema je kaachwa kisa fmaniz au kisa hamlidhsh demu wake anadai...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Awe mkristo, mwenye ndoa ya kikristo, awe Dsm, siku ya harusi ni tarehe 22.10.2011. Asanteni
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Wadau ni miezi kama kumi ss nipo na huyu binti kiukweli ni mzuri sana kitabia,anasoma chuo mbeya wakati huu wa mapumziko nimemtafutia Field Dar kapata naishi nae kwangu vzr amekuwa msaada...
1 Reactions
61 Replies
6K Views
umeoooonaaa eeeehhh???
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habarini za mchana ndugu zanguni nimeiona vyema niwajulishe wale waliokuwa njian kuelekea sinza nyumba za wageni zimejaa sanan so vyema ukaagairi mnapokwenda na hii ni kutokana na mvua...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
How can a ''sorry'' heal a broken heart?????
1 Reactions
19 Replies
3K Views
habari wana JF,kuna jambo nahitaji kujua...mimi ni 23yrs old,ktk maisha yangu sijawahi kumpenda msichana yeyote kutoka moyoni!..licha ya sehemu mbalimbali za ku socialize nilizo pitia hadi...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Juzi nililala hapo mahali nikajilaumu kwa nini sikutembea na mke wangu. Karibu kila aliyeingia pale alikuwa na wake. Halafu TV zina channel ya mavituzi masaa 24. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
kichwa cha habari hapo juu cha husika..
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Back
Top Bottom