Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna majamaa wawili ambao wanafahamiana kwa muda mrefu tangu wakiwa masomoni, kwa bahati nzuri au mbaya wamejikuta kila mmoja anatarajia kufunga ndoa kwasababu zisizozuilika mwezi wa kumi na moja...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
LONDON, Sept 30 (Reuters) - The wife of an MP was found guilty of burglary on Friday after being caught on camera breaking into his lover's home and stealing her kitten. Christine Hemming, 53...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Jamani niko serias natafuta private consultant ambae anaweza kunishauri. Nataka nianze maisha yangu upyaa.nina mambo mengi kichwani nahisi kichwa kinataka kuburst. Aweze kunishauri katika nyanja...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
[expired]
0 Reactions
32 Replies
3K Views
tafadhali msaada wako unaweza kuinusuru roho ya dada huyu kuna shost wangu anampenda sana mume wa mtu kinoma yani na kabla ya kuingia ktk mahusiano na huyo jamaa aliambiwa ka jamaa anamke na mtoto...
1 Reactions
156 Replies
9K Views
Katika baadhi ya maeneo ya uchagani hasa Rombo, kuoa suria ina maana kuishi na mwanamke bila ndoa. Sasa nakumbuka staili iliyokuwa inatumika mabayo kuna jamaa yangu ananiambia anataka akaipraktiz...
3 Reactions
37 Replies
8K Views
kuna kijana mmoja ni single kwa madai yake koz cjamfahamu mda c mrefu so i cant tell more abt him ila kitu nilichojifunza kwake ni kama 1.anapenda utani sana wakati mm sipendi...........yani...
1 Reactions
63 Replies
5K Views
Imebainika kwamba wanandoa ambao wakikasirishwa wanatoa hasira zao, wanaishi zaidi kuliko wale ambao hukaa kimya lakini wanaumia kwa ndani. Kuna wanandoa ambao wanaitwa wapole, ambao wala sio...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu mmoja alifunga ndoa zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Hata hivyo, hivi majuzi alinidokeza kwamba tangu afunge ndoa na mke wake alijisikia furaha ya ndoa katika wiki ya kwanza tu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani naomba mnisaidie, nawezaje kugundua kama mke wangu ama mpenzi wangu ametoka kufanya mapenzi leo leo kabla mimi sijakutana naye. Hebu nipeni mbinu waungwana nitagunduaje jambo hilo? Mfano...
0 Reactions
24 Replies
10K Views
mwanamke anatakiwa aweje(tabia)ili aweze kuishi vizuri na mwanaume anayetarajia kuwa nae kwenye mahusiano?
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Duniani kuna mambo, mkasa huo; DUBAI (AlArabiya.net) A 50-year-old Saudi woman asked for divorce after her husband lifted her face veil while she was sleeping, local press reported. For...
2 Reactions
26 Replies
5K Views
What would you do if you woke up one day to the news that one of your children didnt belong to you? Not many men imagine this can happen to them until that fateful day when they discover the...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
sema chochote
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu wana JF, kuna hiki kitu ambacho mimi huwa nashindwa kuelewa, ni kwanini mdada anapokuwa mcheshi wakaka/wanaume huwa wanachukulia kuwa she is easy to get. Utakuta wakaka wengine wanamsema...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Mimi niko nje ya nyumbani(TZ) niko ugenini, kazini kwangu kuna dada wa miaka kati ya 24-30 ni mfanyakazi mwenzangu na ni mke wa mfanyakazi mwenzetu, ananitaka kwa nguvu ametumia email ameona...
0 Reactions
60 Replies
7K Views
habari kuna dada mmoja amenieleza kisa hiki kimemtokea hadi sasa anashindwa aamue nini huyo dada kaolewa kwa ndoa ya kanisani miaka 11 iliyopita na wamejaliwa watoto 2 ila karibu kuna tatizo...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
ZAIDI ya nusu ya wanawake walioulizwa wameonyesha kutoridhishwa na tabia ya wapenzi wao kupuuzia umuhimu wa kuchezeana kimwili kabla ya kufanya-sex. Hii ni kwa mujibu wa dondoo za utafiti...
0 Reactions
71 Replies
10K Views
Kauli hiyo siku hizi ni ya kawaida sana, kwani kila uchao watu wanaoana, kila wiki siku hizi utasikia matarumbeta na nderemo kila kona na sio mijini tu bali pia hata huko vijijini watu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Huyu jamaa alikuwa mpnz wangu kwa miaka 2, mwaka jana mwezi wa pili akawa amebadilika analewa sn tukawa tunagombana hatimae tukaachana mwezi wa 4 kila mtu akawa na maisha yake, yeye akapata...
0 Reactions
149 Replies
12K Views
Back
Top Bottom