Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Katika baadhi ya maeneo ya uchagani hasa Rombo, kuoa suria ina maana kuishi na mwanamke bila ndoa. Sasa nakumbuka staili iliyokuwa inatumika mabayo kuna jamaa yangu ananiambia anataka akaipraktiz hivi punde. Inakuwa unachofanya ni kumshawishi dada mkawa na ukaribu, au hata uchumba na akawa anakutembelea kwako. Siku ya siku ikifika unamfungia ndani kwa nguvu, unamshulikia had asubuhi, baada ya hapo anakuwa mkeo na harudi tena kwao.
Staili hii ya kufungia ndani ikishindikana basi unatafuta jamaa zako wanamvizia barabarani wanambeba mzegamzega had kwako, unashuhulika nae had asubuhi then anakuwa mkeo. Nakumbuka nilishawahi ku-facilitate sana hii kitu. Hata hivyo ilikuja kuanza kupungua baada ya midada kuwa nunda, inashuhulikiwa hadi asubuhi lakini bado inatoroka inarudi kwao, na wengine wakawa wanafungua kesi za ubakaji, ndipo wanaume wakaanza kuacha hii staili, japo ipo kidogo kidogo.
Faida ya hii staili ilikuwa mtu unaweza kuoa demu hata kama yeye hakutaki, ili mradi tu ufanikiwe kumkamata. Kinachofurahisha hata wazazi walikuwa wanaunga mkono na kusaidia sana vijana wao wa kiume kufanya hii kitu. Sijui vijana walikuwa hawajui kutongoza!!!?
Staili hii ya kufungia ndani ikishindikana basi unatafuta jamaa zako wanamvizia barabarani wanambeba mzegamzega had kwako, unashuhulika nae had asubuhi then anakuwa mkeo. Nakumbuka nilishawahi ku-facilitate sana hii kitu. Hata hivyo ilikuja kuanza kupungua baada ya midada kuwa nunda, inashuhulikiwa hadi asubuhi lakini bado inatoroka inarudi kwao, na wengine wakawa wanafungua kesi za ubakaji, ndipo wanaume wakaanza kuacha hii staili, japo ipo kidogo kidogo.
Faida ya hii staili ilikuwa mtu unaweza kuoa demu hata kama yeye hakutaki, ili mradi tu ufanikiwe kumkamata. Kinachofurahisha hata wazazi walikuwa wanaunga mkono na kusaidia sana vijana wao wa kiume kufanya hii kitu. Sijui vijana walikuwa hawajui kutongoza!!!?