lol! sasa na ww ya nini kutolea macho vya watu? cha mtu movie,lol
lol! sasa na ww ya nini kutolea macho vya watu? cha mtu movie,lol
piga chini hao mabahili.
I wish that ws easy cz huyo mtu ameolewa na anapesa na anaishi kwangu hata centi sijawai kuiona ikileta food mezani,,
"ameolewa, ana pesa, anaishi kwako" mbona sijaelewa.
Kakuolea wewe? Kwa nini akutwishe msalaba wake?I wish that ws easy cz huyo mtu ameolewa na anapesa na anaishi kwangu hata centi sijawai kuiona ikileta food mezani,,
staki mishkaki yako hamisi
Heloo,ningekuwa naelewa anafanya nini,nisingeuliza,
Kwanin utaki?
hujaipika vizuri ngabu husninyo.
Sasa wataka nini? heheheeeee halafu penda sana hiyo ngabu husninyo.....ulibana weeeee mwishowe umeachia...kaa skinny jinsi vile
Umeelewa au umegeg , ningekuwa natolea macho vya watu nisingesema hvyo nilivyosema hapo juu,
tangu nilete mahari kwenu imekua tabu,nitasusa kukuoa.