Hivi kwanini watu wengine ni wabahili sana?

Ashle

Member
Oct 2, 2011
6
3
Na watu hao upenda sana vya wenzao, kwa ufupi naweza sema "chako changu changu changu" ndio style yao, kwani kuna mtu anazikwa na pesa au gold,jamani? Some people need change,
 
I wish that ws easy cz huyo mtu ameolewa na anapesa na anaishi kwangu hata centi sijawai kuiona ikileta food mezani,,
Kakuolea wewe? Kwa nini akutwishe msalaba wake?
 
Back
Top Bottom