Anakufa mtu unayemjua tangu akiwa mzima wa afya hadi alipougua na kufariki. Kabla hujajua amekufa kwa maradhi gani, unaanza kupita ukinong'ona kwamba, amekufa kwa Ukimwi.
Inawezekana ni kweli...
Kama kawaida najongea ktk hili jamvi ila mwenzenu nina matatizo sana yaani kila demu ninae mpata hatukai muda mrefu ananimwaga,kama kuhonga naonga,kukalua ndo usiseme,halafu ni hb kinoma sasa...
Habari Familia yangu ya MMU na wana JF woote...
Hopefully you and your Loved ones woote ni wazima and have spent the Weekend to perfection.... Leo nimeona tuweke maswala ya Wapenzi pempeni na...
How i feel... Sometimes its really difficult to tell people around us how we feel i wish i can let someone inside my heart so they can see how much i'm hurting, not that...
...are you the victim of your own success?
are you living your dream or are you living a nighmare?
una usongo wa mawazo unaotokana na majukumu ya kazi, familia, ie---ndugu, jamaa na marafiki...
Roger alikuwa anamfundisha dada yng na pia alikuwa na uhusiano nae.Ila Roger alisifika kwa akili nyingi pale shule ya secondary Pugu high school walijuana na dada kwa kuwa alikuwa anasoma pale...
Ndugu yangu ananieleza haya:
Anaishi nyumba ya kupanga, ana vyumba viwili na sebule. Mwanae wa kiume alikuwa akilala na mabinti (mmoja ni ndugu wa karibu) na binti wa kazi za ndani (house girl)...
Nimekaa na tatizo hili bila kumweleza hata rafiki yangu wa karibu,leo nimeamua niombe ushauri kwenu wana JF....natumaini mtanisaidia! Mke wangu ni mlevi kupindukia..na juzi aliletwa na rafiki yake...
This is the best and most civil way to have a fight between husband and wife instead of resorting to physical force...
WIFE:
I wrote your name on sand it got washed.
I wrote your name in air, it...
Ukisikia malaya ni mwanamke, kahaba ni mwanamke, changudoa
ni mwanamke, dada poa ni mwanamke, nyambizi ni mwanamke
siku hizi kuna MJASILIAMWILI ni mwanamke. Hivi ninyi wanaume
tuelezeni hapa kama...
Anahitajika dada mwenye utaalamu wa kufanya full body massage, nitakua maeneo ya DSM for next few weeks na nitahitaji hii huduma privately. Maombi yanakaribishwa ikiwemo bei iwe kwa dollar au TSH
kuna Imani miongoni mwa wanawake kwamba wanawake wenye "mbano" wanapendwa zaidi na wanaume kuliko wale "zilizopwaya" lakini kwa wanaume nako kuna imani kwamba wale wenye "ndefu, nene" ndiyo...
Nilimsikia Lady Hanifa wa Radio One akisisitiza kuwa mume na mke wameoana. Na wengi siku hizi hasa wanawake wanatumia neno ili kuoana badala ya kuoa au kuolewa. Je, ni sahihi kweli kuoana? na kwa...
Habari zenu wana Jf: Kuna rafiki yangu alikuwa na mpenzi wake tangu mwaka 2007 na walipendana sana na walikuwa na mpango wa kufunga ndoa 2012. Ilipofika mwaka 2010 mpenzi wa rafiki yangu (shemeji)...
"Daughters"
I know a girl
She puts the color inside of my world
But she's just like a maze
Where all of the walls all continually change
And I've done all I can
To stand on her steps with my...
Sijui nianzie wapi?? naandika kwa masikitiko makubwa, miaka 7 iliyopita niliolewa na mwenzangu ambaye nilimpenda baada ya urafiki wa miaka kama 5 japo baadhi ya ndugu zangu hawakupenda...
Ninarafiki ameolewa,ila mumewe yuko karibu sana sana na mfanyakazi mwenzie wakike,wako karibu kiasi mke anahic wana mahucano ingawa mume anapinga na kusema wao ni marafiki 2,kinachomkera ni...
Jamaa huyu ambaye kachoshwa na taarifa za mtaani ya kuwa memsapu wake amekithiri katika kuigawa...................sasa adai kapata dawa..............mama hushurutishwa kuvua nguo zote usiku halafu...
kuna mrembo nimekuwa na urafiki nae kwa mda mrefu lakini cha ajabu kila mara nyakati za usiku ananiomba tufanye mapenzi njia ya kwa simu hali hii inapelekea kujichafua kila siku au kumalizia...