Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

kATIKA HALI ISIYOKUA YA KAWAIDA JIRANI YANGU, bINTI NZURI HUWA ANANIPA CHAKULA ila hasemi chochote.Naogopa usikute ananipenda kimapenzi. Nilikua nasomea upadri na naogopa asijenimiliki, angali...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
moved to another jukwaa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Me ni upweke...!
0 Reactions
19 Replies
2K Views
habari zenu wana jf.. Jana kunakitu kimenikera sana, nilipokuwa nikitoka kazini mida ya sa4 nilipita eneo fulani nikakuta vijana kama sita wakiwa mamemfunga kijana mwingine kamba miguuni na...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Ni jambo ambalo litawashtua wanawake, hasa walioolewa au ambao wana wapenzi wanaoaminika, kwamba, kila wanaume kumi ambao unakutana nao kila siku, watano kati yao ni lazima wameshakutana na...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
Nasema yeye mwema .... kwetu pazuri nimeshapakumbuka,ninayo hamu ya kuishi na mwokozi wangu kwa amani na furaha tena ya ajabu ....lalalaaaaaa
3 Reactions
36 Replies
9K Views
...nimetokea kuvutiwa na kasichana kazuri, na yeye anaonyesha kuwa na interest na mimi, lakini ni mtoto wa boss.....wanaseama mtoto wa bosi ni bosi....ukizingatia mambo ya mahusiano yana ups and...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Umemnunulia mkeo gari, unashngaa jioni ya jumapili anarudi kwa daladala. Gari wapi, anakwambia kapanda mbengu kanisani ili apate baraka. Japo ni swala la kidini utafanyaje funguo pastor kesha...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Naona wanaume wametaharuki kwa hicho kichwa cha habari…………….Jamaniee sina maana hiyo! Namaanisha ukitaka kumuua mwanaume kisaikolojia na sio kwa kumtoa...
2 Reactions
92 Replies
11K Views
Habari wana jf, kwanza nna majonzi kwani yapata wiki tatu sasa tangu tumuage mama yetu mzazi, ila jambo linalonifanya niendelee kukosa furaha ni kwamba mama alinyanyaswa na shemeji (mke wa kaka...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Salaam wanajf wenzangu wote.. Lord have mercy….. Uchaguzi wangu haujakuwa km nilivyofikiria itakuwa, mama inaniuma sana, mama anasema Sio rahisi mwanangu kuelewa haya mambo ila natumai...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
katika uchumba/mahusiano ya kimapenzi inatokea kufarakana hata kuachana...je vile vitu mlivyokua mkipeana enzi hizo (zawadi,..picha) yapasa mrudishiane?..
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Wapendwa hapa JF za siku, bila shaka wengi wetu hapa ni wapenzi wa mitandao mbalix2, ukiwemo wa fb, jitahadharini sana sana na huu mtandaoo, umeshavunja uhusiano wa wapenzi wengi sana, na sbb hizi...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Nakumbuka kipindi nilivyokuwa 'kijana'.... dah! Ingekuwa ndo sasa hivi kina dada wote humu mngekomaje!...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Why does love feel so good? By Helen Fisher, Ph.D. “Tell me where is fancy bred, in the heart, or in the head?” asked Shakespeare. He was one of millions who, over the centuries, have wondered...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
wadau habari ya muda huu leo ndoa yangu inatimiza mwezi 1 nafurahia maisha haya kwani nitofauti sana na nilipokuwa bachela kwani haijawa ndoano je waungwana shemeji yenu nimpe zawadi gani ?
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Jamani hii kitu imekuwa inanisumbua kwa muda sasa ndani ya nyumba! Hivi karibuni nimefunga cable service kutoka kwenye kampuni moja hapa nnapoishi. Binafsi hawa jamaa wana channel nyingi za mpira...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
Salamu wanaJF, Mimi ni kijana wakiume, naombeni mnielimishe kuhusu nyota! Mtu akikwambia nyota yako haingai au inamatatizo inamaana gani? Kwa takribani miaka 3 sasa nimekuwa naplani nzuri za...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
why wanaume mmekuwa kama wadudu msioshiba na mwanamke mmja nowdayz hamna mapenzi ya kweli mnachojali ni kupata penzi tu acheni hizo tumeshachoka kuumizwa na nyie!!
2 Reactions
68 Replies
6K Views
...in this money driven world can love really stand with out cash?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Back
Top Bottom