Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

wikiend ilikuwa ngumu kwa rafiki yangu jamani wana mmu Jamaa alikuwa na mchumba wake na wakati amemaliza chuo ikatokea nafasi ya usalama wa taifa na huyo dada aakapewa huo mchongo na akaenda...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wa na MMU na hasa wale mliopo ama mna asili ya kanda ya nyanda za juu kusini...........tumempoteza mwenzetu Zamoyoni Ngede, mtangazaji wa redio Country FM inayorusha matangazo yake kutoka mjini...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Kuanza penzi ni raha, kwisha kwa penzi nako raha? Wengi watasema ni machungu, kilio na simanzi hasa kwa yule ambaye bado anapenda. Wengi hutamani penzi liwe la milele..... wengi hutamani kama...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Miongoni mwa matatizo mengi yanyozikumba ndoa nyingi ni kukosa mtoto. Ndoa ni neno lenye herufi nne ambalo ukilichambu kwa undani zaidi utakuta mambo mengi sana, katika ndoa kuna mume na mke...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Nilikuwa na demu wangu ninìii na ninii.i...bac tulikuwa tunatomasana na nini.. Sasa ikafka wakat nkaanza kumpga romance..wakat naendelea ghafla nikakutana na chembe chembe za wali yoo...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna katabia ka baadhi ya mabinti inaniuzi sana,ni hivi unakutana na dada amabaye mnajuana nae vizuri sana labda mlikaa mtaa mmoja,au kusoma wote miaka ya nyuma,na inatokea kwamaba hamjaonana mda...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Dear members, as we approach the end of 2011,allow me to sincerely thank all of you for your posts. They've contributed alot to my stock of knowledge. But I would also wish to give my special...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chorus: Wish I could keep you much longer I know you gotta go, cause you got things to do Wish I could keep you much longer Now you too busy for me girl, like I was to you Wish I could just stop...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hawa wenzetu wanapenda sana vya bure, na kudandia wanawake wenye uwezo. Ukiwa naye utamnunulia vipodozi, nguo tena hadi ndani, atakuomba na hela ya daladala na ya kula pia. Unampendezesha...
0 Reactions
82 Replies
10K Views
Hivi dada zetu,mmeshaona kuwa na mabody makubwa aka mahipsi yakichina ndo tutawapenda sana?.Naomba samahani kwa wale waliozaliwa hivyo.naongelea hawa wakichina.Unakuta mtu alikuwa Miss baada ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wapendwa wa jukwaa hili pendwa la MMU, Ningependa kuchukua fursa hii kuwajulisha kwamba, mwenzetu Lily Flower amefiwa na kaka yake wa kuzaliwa. Tukiwa kama rafiki zake, ndugu zake, tuungane nae...
13 Reactions
55 Replies
4K Views
Wama JF naomba ushauri wenu, mwanamme kuomba pesa kwa mpenzi wake, ni sawa? Nina mpenzi ambaye kutwa ana shida yeye, mimi sijawahi kumuomba, lakini yeye ndio kila siku ana matatizo ya kutaka...
1 Reactions
48 Replies
12K Views
muda umekwenda sana,kila ninayekutana naye ana mapungufu ambayo siwezi kuyavumilia huyu niliye naye ni wa mwisho,nitakaa na wale watoto wangu niliozaa na wale wamama wengine na kuwalea nafikiri ni...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
"Be good enough to forgive someone. But don't be stupid to trust them again....!!" Think on it. Have a wonderful weekend and God bless u all!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Penzi halina dawa, penzi halihusiani kabisa na kufanya ngono (hivyo kubinuka aina nyingi za mibinuko haina maana ndio utapendwa au unapendwa zaidi) penzi huja kiasili huhitaji kulazimisha wala...
0 Reactions
7 Replies
17K Views
My friend John always has something to tell me. He knows so much that young men have to have older and more worldly wise men to tell them. For instance who to trust, how to care for...
0 Reactions
1 Replies
857 Views
She was sitting there. in the front row of the classroom.. She was the hyperactive chatty gal that I would love to loathe... At first sight, there was simply nothing...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari wana jf kuna kesi imelwetwa hapa kwangu niweze kutoa ushauli ila kabla ya sijatoa ushauri nimeona nipokee ushauri kutoka kwenu wana jf kuna kaka mmoja ni jilani yetu ameoa na ana mtoto...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Madada zetu wengi sana wanajichubua ili wapendwe, au kwa akili zao ili wawe wazuri zaidi. Lakini mbona weupe hawavutii kuliko weusi!!, madada weusi hasa wenye rangi ya chocolate jamani wanavutia...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Limeibuka wimbi la ndoa kufungwa huku wanawake wakiwa na mimba, je wanawake wanpenda ku do kabla ya ndoa au wanafata mkumbo wa wanaume.kama wanapenda why.
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Back
Top Bottom