wikiend ilikuwa ngumu kwa rafiki yangu jamani wana mmu
Jamaa alikuwa na mchumba wake na wakati amemaliza chuo ikatokea nafasi ya usalama wa taifa na huyo dada aakapewa huo mchongo na akaenda...
Wa na MMU na hasa wale mliopo ama mna asili ya kanda ya nyanda za juu kusini...........tumempoteza mwenzetu Zamoyoni Ngede, mtangazaji wa redio Country FM inayorusha matangazo yake kutoka mjini...
Kuanza penzi ni raha, kwisha kwa penzi nako raha?
Wengi watasema ni machungu, kilio na simanzi
hasa kwa yule ambaye bado anapenda.
Wengi hutamani penzi liwe la milele.....
wengi hutamani kama...
Miongoni mwa matatizo mengi yanyozikumba ndoa nyingi ni kukosa mtoto. Ndoa ni neno lenye herufi nne ambalo ukilichambu kwa undani zaidi utakuta mambo mengi sana, katika ndoa kuna mume na mke...
Nilikuwa na demu wangu ninìii na ninii.i...bac tulikuwa tunatomasana na nini..
Sasa ikafka wakat nkaanza kumpga romance..wakat naendelea ghafla nikakutana na chembe chembe za wali yoo...
Kuna katabia ka baadhi ya mabinti inaniuzi sana,ni hivi unakutana na dada amabaye mnajuana nae vizuri sana labda mlikaa mtaa mmoja,au kusoma wote miaka ya nyuma,na inatokea kwamaba hamjaonana mda...
Dear members, as we approach the end of 2011,allow me to sincerely thank all of you for your posts. They've contributed alot to my stock of knowledge. But I would also wish to give my special...
Chorus:
Wish I could keep you much longer
I know you gotta go, cause you got things to do
Wish I could keep you much longer
Now you too busy for me girl, like I was to you
Wish I could just stop...
Hawa wenzetu wanapenda sana vya bure, na kudandia wanawake wenye uwezo.
Ukiwa naye utamnunulia vipodozi, nguo tena hadi ndani, atakuomba na hela ya daladala na ya kula pia.
Unampendezesha...
Hivi dada zetu,mmeshaona kuwa na mabody makubwa aka mahipsi yakichina ndo tutawapenda sana?.Naomba samahani kwa wale waliozaliwa hivyo.naongelea hawa wakichina.Unakuta mtu alikuwa Miss baada ya...
Wapendwa wa jukwaa hili pendwa la MMU,
Ningependa kuchukua fursa hii kuwajulisha kwamba, mwenzetu Lily Flower amefiwa na kaka yake wa kuzaliwa.
Tukiwa kama rafiki zake, ndugu zake, tuungane nae...
Wama JF naomba ushauri wenu, mwanamme kuomba pesa kwa mpenzi wake, ni sawa?
Nina mpenzi ambaye kutwa ana shida yeye, mimi sijawahi kumuomba, lakini yeye ndio kila siku ana matatizo ya kutaka...
muda umekwenda sana,kila ninayekutana naye ana mapungufu ambayo siwezi kuyavumilia
huyu niliye naye ni wa mwisho,nitakaa na wale watoto wangu niliozaa na wale wamama wengine na kuwalea
nafikiri ni...
Penzi halina dawa, penzi halihusiani kabisa na kufanya ngono (hivyo kubinuka aina nyingi za mibinuko haina maana ndio utapendwa au unapendwa zaidi) penzi huja kiasili huhitaji kulazimisha wala...
My friend John always has something to tell me. He knows so much that young men have to have older and more worldly wise men to tell them. For instance who to trust, how to care for...
She was sitting there. in the front row of the classroom.. She was the hyperactive chatty gal that I would love to loathe...
At first sight, there was simply nothing...
habari wana jf kuna kesi imelwetwa hapa kwangu niweze kutoa ushauli ila kabla ya sijatoa ushauri nimeona nipokee ushauri kutoka kwenu wana jf kuna kaka mmoja ni jilani yetu ameoa na ana mtoto...
Madada zetu wengi sana wanajichubua ili wapendwe, au kwa akili zao ili wawe wazuri zaidi. Lakini mbona weupe hawavutii kuliko weusi!!, madada weusi hasa wenye rangi ya chocolate jamani wanavutia...
Limeibuka wimbi la ndoa kufungwa huku wanawake wakiwa na mimba, je wanawake wanpenda ku do kabla ya ndoa au wanafata mkumbo wa wanaume.kama wanapenda why.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.