Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,460
- 39,928
Kama kuna wakati mgumu wakati mwingine kwa wanandoa wapya ni kuchelewa kupata mtoto. Wakati mwingine watu wanaamua kwa makusudi kutopata mtoto mara moja huku wakijitahidi kujipanga vizuri. Mgogoro mkubwa huanza mwaka mmoja baada ya ndoa kama hawaoni kile kinachoitwa "tunda la ndoa". Maswali yanabakia:
a. Je watu wanaweza kukaa pamoja na kuamua kuishi pamoja bila kutaka watoto?
b. Je ni lazima kupata mtoto mwaka wa kwanza wa ndoa? au hata mwaka wa pili?
c. Ni kwanini watu ambao hawajajaliwa mtoto huona bora kuachana kuliko kuchuka mtoto wa kuamua kulea (adoption)?
MMM
a. Je watu wanaweza kukaa pamoja na kuamua kuishi pamoja bila kutaka watoto?
b. Je ni lazima kupata mtoto mwaka wa kwanza wa ndoa? au hata mwaka wa pili?
c. Ni kwanini watu ambao hawajajaliwa mtoto huona bora kuachana kuliko kuchuka mtoto wa kuamua kulea (adoption)?
MMM