Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Habari za wakat huu watanzania wenzangu!!!ebana,niliwahi kuwa na galfrd wangu tangu tukiwa primary bt mwaka jana mwezi wa 7 alinipga kibuti kwa kisingzio cha kwamba ,eti me ni kicheche{kitu ambacho kwa wkt huo hakikua cha kweli kabisa},wel me nkajitahidi kumuelewesha na kumbembeleza sana ila akawa amebaki na msimamo wake ule ule,ilifikia wkt mpaka akaniweka kwenye ignore list ktk simu yake{yan nikimpgia akawa hapatkan hewan,ili kuepuka usumbufu wangu},bac me nkaona nisiendelee kuwa kero katka maisha yake,nikaamua kumpotezea ka alvonitaka nifanye,ila katika inteligensia niliyokuja kuifanya baadae,nligundua kwamba alikua anamshkaji wake yuko anasoma india,wel maisha yakaendelea,me nkapata mmanzi mwingne ambae niko nae mpaka sasa,cha kushangaza,yule mmanzi ameanza kunisumbua tena eti anataka turudiane,anadai wkt ule she was fool na coz alikua 1st yr chuo anadai na utoto nao ulchangia,me nkaona hzo sababu zake sio za msing sana kwangu,nikaamua tena kufanya uintelijensia wangu na nikagundua kwamba yule mchzi wake wa india amemtema so ndo maana kaamua kujirudisha kwangu kistyle,kosa nililofanya ni kwamba ameniulza ka nina gal kwa sasa nkamdanganya sina,sasa amesema before xmass atanifuata dar akitokea iringa anakosoma.sa wakuu nauliza huyu mmanzi nimchakachue cha mwisho mwisho afu nimfungie vioo jumla au nimfanyaje,maana me simuhtaji tena na ninataka nitumie friendly language ya kumueleza kuwa simuhtaji tena??over