ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Nimeamua kuanza kuandika series za aina mbali mbali ya jamii kama vile, syansi, elimu, mila na makabila mbalimbali yaliyopo tanzania. Hata hivyo naomba wanajf mniruhusu kufanya hivyo.
Nikipata 'go ahead walau za 'members' wasiopungua 15, ntaanza kutoa hizo series mara baada ya sherehe za miaka 50 ya uhuru wa TANGANYIKA.
Naomba ruhusa yenu!
Nikipata 'go ahead walau za 'members' wasiopungua 15, ntaanza kutoa hizo series mara baada ya sherehe za miaka 50 ya uhuru wa TANGANYIKA.
Naomba ruhusa yenu!