Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Naombeni ushauri wana jammii. Nimeishi na mwanaume wa kikurya kwa miaka saba sasa na tuna mtoto mmoa. Familia ya mwanaume huyu ni ya ajabu sijawahi kuona!Ndugu na wazazi wake ni watu wa ajabu...
1 Reactions
102 Replies
19K Views
http://youtu.be/sZmpsVLMqik Ooh baby I love the way you make me feel It slows down time Come in my bedroom and turn off the...
2 Reactions
65 Replies
5K Views
Wanawake wana matarajio makubwa karibu katika kila eneo linalohusu maisha yao, lakini inapokuja kwenye tendo la ndoa, mambo ni tofauti sana. Kwa nini? Ni kwa sababu, wanawake wengi ambao...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari zenu, kuna mschana mmoja ambaye ni mwanachuo mwenzangu wote tukiwa katika kozi moja. sio siri nimetokea kumpenda sana huyu mschana kutokana na sifa nyingi na vigezo ambavyo anavyo. ila...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tafiti nyingi zinaonesha kwamba, mwanamke ambaye anavaa kwa njia yenye kuchokoza hisia, hawezi kutazamwa kama aliye na uwezo sawa na wengine mahali. Hii iko duniani kote, bila kujali kama ina...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
Naomba msaada wanaJF. Hivi mwanamke kumwekea maji mumewe bafuni ni wajibu au ni fadhìla tu? Nauliza hivi sababu mke wangu haniwekei maji mpaka nimgombeze au siku akipenda mwenyewe. Siku nyingi...
4 Reactions
125 Replies
14K Views
nimejaribu kuwataka mabinti haijalishi wako kwenye mauhusiano au hapana kupitia facebook huwa hawakatai mbaya zaidi unakupa number yake ya cim na sehemu anayofanyia kazi au kusoma na mahali...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Ukiambulia kitu wait better tommorow Five things men love to hear on a date: 1. “Then what happened?” It’s only human for a man to want to think that his life is reasonably interesting. And...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello wakubwa,kuna mmanzi nlimpgaga sound akanikataa kwa kigezo kwamba ana boy wake na ni kwel nlkuja kugundua ana msela,wel juzi kati kanambia wamebreak na msela,me nkampa pole tu na faraja,sa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Eti ni kweli watu kutoka makabila ambayo kwa asili ni wafugaji usafi kwao sio issue sana. Kumuona mama akitumia ganda la mua kumsafishia mtoto haja kubwa ni kitu cha kawaida sana. Kwamba hata...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wamama wengi ama wabinti wamekuwa sana busy na mambo ya kujiremba sikuhizi mbaya zaidi kuna amabo wanaenda kwenye nyumba ndogo wakiacha watoto kwenye nyumba ya jirani sijasema wewe vipi mbona...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni mwaka mmoja sasa tangu tuhitarifiane na mpenzi wangu wa awali ,sababu ya mimi na yeye kukwaruzana na kuachana ni pale nilipohitaji kujua ukweli wa jambo fulani baada ya kulisikia,lakini...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Hello wana jf. Ni tumaini langu mpo good! Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua dada yangu ana mahusiano ya kimapenzi na njemba nyingine pale nilipomfumania akitoka gesti naye bila yeye...
2 Reactions
93 Replies
10K Views
Siku hizi wanaume hupata mapenzi kirahisi sana kutoka kwa wanawake kuliko ilivyokuwa huko nyuma. Hata ukiongea na mzee mwenzangu Bishanga atakubaliana na mimi. Zamani enzi zetu makahaba walikuwa...
2 Reactions
84 Replies
9K Views
Wakuu wa jf,mimi ni mwanaume miaka 29,niko masomoni nje ya nchi nategemea kurudi Tz mwakani by june,natafuta mweza wa maisha ili tuanze mawasiliano saizi ili nikifika tumalizie tu taratibu za...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Tangu siku mliyompiga 'mkwara' apunguze kutupatia elimu dunia kuhusu wanawake eti kwa kigezo anawakata 'steam' mimi kama mwanaume ninasikitika sana. Yaani mengi na elimu nzuri tuliyokuwa tukiipata...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Pengine umekuwa ukidharau wazazi wako na kuanza kuitupa mbali ile amri aliotumba mungu wetu waheshibu baba na mamako upate kuishi miaka mmingi,....wapo watoto wa leo wanazaliwa wanapata kazi...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kweli hizi tabia zinakera sana wanaume na ndo zinafanya wengine mnakosaga kabisa wakuwaoa mnabaki kubanana na wanaume za watu. 1. Tabia za kujifanya high class 2. Kila ukipewa outing unakuja na...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Ndiyo, si mliamua tu kulea mimba zetu-mngeamua kuzitoa nani angewazuia. Eeeeeeee! Hata tukiwaudhi mnatupikia chakula na kukitenga mezani, tukirudi home tunakula, mkiamua kuweka sumu si wote...
4 Reactions
43 Replies
4K Views
Kuna watu wamekuwa dedicated na ukoo awataoa kabisa kabisa ndio maana utakuta kuna mabinti wazuri kweli ama wanaume handsome ukimtajia mwanamke/mwanaume aoe anaruka kimada na umri unazidi kusonga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom