Kwanini watu hutumia uchawi kuboresha mapenzi?

Kwanini watu hutumia uchawi kuboresha mapenzi?

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,127
Reaction score
165,990
Hivi inawezekana kwa "Wapenzi" Kuachana
wakiwa bado Wanapendana? na Je ni
kwanini Watu hutumia "Imani za Kishirikina"
kwenye Mapenzi?!
 
*-+=
mwanamke autegeaye uchawi hajui mapenzi
 
Unajua unaweza ukawa umefall in love kwa mwanaume kupita kiasi lakini yeye hakupendi, ili ufaidi lile penzi ni vyema kutumia njia mbadala kama kuloga, au kutumia pesa.
 
Inaezekana ndio. Unaeza kua unampenda mwenzio afu akawa na labda tabia ambazo huzipendi na ukiangalia hawezi kubadilika, kuepusha msongamano unaamua kumwacha huku bado unampenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom