Kwanini watu hutumia uchawi kuboresha mapenzi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,883
155,856
Hivi inawezekana kwa "Wapenzi" Kuachana
wakiwa bado Wanapendana? na Je ni
kwanini Watu hutumia "Imani za Kishirikina"
kwenye Mapenzi?!
 
Unajua unaweza ukawa umefall in love kwa mwanaume kupita kiasi lakini yeye hakupendi, ili ufaidi lile penzi ni vyema kutumia njia mbadala kama kuloga, au kutumia pesa.
 
Inaezekana ndio. Unaeza kua unampenda mwenzio afu akawa na labda tabia ambazo huzipendi na ukiangalia hawezi kubadilika, kuepusha msongamano unaamua kumwacha huku bado unampenda.
 
Back
Top Bottom