Faida za sex kwa mwanamke....

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,875
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???

Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???

Kuna faida nyingi kwa mwanamke anapofanya sex
mara kwa mara hizi ni baadhi tu

1.ngozi inakuwa nzuri na laini.
2.nywele zinakuwa nzuri na zina shine.
3.unapata usingizi mzuri..
4.unapata hamu ya kula vizuri..
5.unaondoa stress kichwani.
6.unaongeza confidence ...na self esteem
7.unapata amani ya moyo...
8.unapunguza kasi ya kuzeeka...
9.unapunguza kisirani kwa ujumla..
10.........etc, etc.
 
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???

Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???

Kuna faida nyingi kwa mwanamke anapofanya sex
mara kwa mara hizi ni baadhi tu

1.ngozi inakuwa nzuri na laini.
2.nywele zinakuwa nzuri na zina shine.
3.unapata usingizi mzuri..
4.unapata hamu ya kula vizuri..
5.unaondoa stress kichwani.
6.unaongeza confidence ...na self esteem
7.unapata amani ya moyo...
8.unapunguza kasi ya kuzeeka...
9.unapunguza kisirani kwa ujumla..
10.........etc, etc.

We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.
 
Hapo unaposema unapunguza kasi ya kuzeeka sikubaliani nawe, hapo hakuna ukweli wowote kama kungekuwa na ukweli dada na kaka zetu wanajiuza wasingekuwa wanazeeka haraka kwa sababu virutubisho wanavyovipata kwa siku ni balaa halafu vinatoka kwa watu tofautitofauti.
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.

Mkuu nadhani unakosea kumshaki mwenzio..! Hapa anayo haki ya kuzungumzia mapenzi kwani ni thread ya MAHUSIANO,MAPENZI, NA URAFIKI. Au mkuu hayo maneno kwako yana maana tofauti ?
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.
Aaaaaah Bata!

Hili ni jukwaa la mahusiano, mapenzi, urafiki ndio mahali pake. Kama hulitaki si utembelee majukwaa mengine ka ya Siasa n.k.
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.

who are u??????
umetazama thread zangu zote ukaona ngono???
wewe ni member hapa since when??????
usitafute umaarufu kwa nguvu....
u dont know me.
nakushauri go get a life,
hasa sex life which seems to be missing in your life
since u believe sex is upuuzi.
 
Mkuu nadhani unakosea kumshaki mwenzio..! Hapa anayo haki ya kuzungumzia mapenzi kwani ni thread ya MAHUSIANO,MAPENZI, NA URAFIKI. Au mkuu hayo maneno kwako yana maana tofauti ?

huyu bata kazi yake kuliwa kwa pilipili,
hana thread hata moja ya maana humu...
kazi kuropoka tu.na kuchafua hewa humu.
 
who are u??????
umetazama thread zangu zote ukaona ngono???
wewe ni member hapa since when??????
usitafute umaarufu kwa nguvu....
u dont know me.
nakushauri go get a life,
hasa sex life which seems to be missing in your life
since u believe sex is upuuzi.


Mkuu siku izi wajua Hata Bongo mashoga weshakuwa wengi na wanambinu tofauti kutafuta mabwana..!! Ukiona mtu anafuatilia thread zako kwa sana basi analake jambo! Watu wa jinsi hiyo ni kuwaepuka tu kama ukoma..!
 
huyu bata kazi yake kuliwa kwa pilipili,
hana thread hata moja ya maana humu...
kazi kuropoka tu.na kuchafua hewa humu.

wewe hii ya mapenzi tena haina kichwa wala miguu umeona nii ya maana,

be educated,or u better go back to school.

U SEEMS LIKE not matured enough.

ngono kitu gani wewe bosi.....acha ushamba wa mapenzi,utamu utamu kwani kila mtu ana utamu na faida zake ktk ngono.ila wewe umezidi sana huwezi kuandika thread kama hii ya kipuuzi hapa jamvini.

tena ukome kabisa,siitaji umaarufu ila angalia unachoandika.
 
mkuu siku izi wajua hata bongo mashoga weshakuwa wengi na wanambinu tofauti kutafuta mabwana..!! Ukiona mtu anafuatilia thread zako kwa sana basi analake jambo! Watu wa jinsi hiyo ni kuwaepuka tu kama ukoma..!

kabisa mkuu..
Jina lenyewe bata...
 
Mkuu siku izi wajua Hata Bongo mashoga weshakuwa wengi na wanambinu tofauti kutafuta mabwana..!! Ukiona mtu anafuatilia thread zako kwa sana basi analake jambo! Watu wa jinsi hiyo ni kuwaepuka tu kama ukoma..!


wewe ulimi UMEACHAA USHOGA maana kuna mshikaji anakuuliziaga kweli yani.wewe na bosi hamna sera.
 
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???

Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???

Kuna faida nyingi kwa mwanamke anapofanya sex
mara kwa mara hizi ni baadhi tu

1.ngozi inakuwa nzuri na laini.
2.nywele zinakuwa nzuri na zina shine.
3.unapata usingizi mzuri..
4.unapata hamu ya kula vizuri..
5.unaondoa stress kichwani.
6.unaongeza confidence ...na self esteem
7.unapata amani ya moyo...
8.unapunguza kasi ya kuzeeka...
9.unapunguza kisirani kwa ujumla..
10.........etc, etc.

Mi nadhani hakuna sababu ya kufanya sex kama duty, sex ni sanaa na pamoja na faida zilizoainishwa hapo juu inatakiwa kukuburudisha . Ukiwa na umpendae kwa dhati na mkaijua sanaa hii vizuri basi suala la kulazimishana/kukomoana kwenye sex halina nafasi kwani wote mtakuwa mkifurahia na itawaletea hamu ya sex
 
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???

Wanafikiria hivyo kwa kuwa baadhi yetu sisi akina baba/wanaume huwa tunashindwa kuwafanya wa-enjoy sex. Kilele cha kufurahia tendo hilo kwa mwanamke ni pale anapopata orgasm. Sasa kama hajui hata orgasm ni nini unategemea afurahie?

Ili mwanamke apate orgasm lazima kuwe na maandalizi ya kutosha, na siyo kurashia ili mradi (wanaume wengi hapa tume-fail). Kutokana na kushindwa kuwaandaa tunaishia ku-enjoy sisi na wao wanaishia njiani ama ndo kwanza anaanza kupanda wewe ushamaliza, unategemea afurahie? Kwanini asiseme kwamba ngono wana-enjoy zaidi wanaume?

Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???

Ukiona mkeo/gf wako anafanya hivyo, ni kwamba umeshindwa kumpa raha anayoitaka. Lakini kama ana enjoy hilo tendo, hawezi kutoa adhabu hiyo kwa kuwa na yeye atakuwa anajiadhibu kwa kujinyima raha.

Kama anapata orgasm na akatoa adhabu hiyo maana yake ni kwamba kutakuwa na makosa mengine ambayo utakuwa umefanya. Unajua akina mama wako sensitive sana, kitu kidogo tu kinaweza ondoa hamu yote ya tendo hata kama huwa unampatia big O ambayo si ya kawaida. Mojawapo ya makosa mabaya ni pamoja na ku-cheat, hii ni sumu mbaya sana ya sex kwa mwanamke.
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.


Mkubwa uliombwa uchangie??Kama unaona mada haikufai wewe angalia tu sehemu zingine sio lazima kumponda mtu au kuchangia kama vipi wewe weka kitu unachoona cha muhimu....Nawakilisha!!
 
who are u??????
umetazama thread zangu zote ukaona ngono???
wewe ni member hapa since when??????
usitafute umaarufu kwa nguvu....
u dont know me.
nakushauri go get a life,
hasa sex life which seems to be missing in your life
since u believe sex is upuuzi.

Mkuu Boss
soma namba 9 ya badiko lako, unajua majibu kama haya yanajigonga na namba 9?
 
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???

Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???

Kuna faida nyingi kwa mwanamke anapofanya sex
mara kwa mara hizi ni baadhi tu

Je, kumnyima huku ni kwa kosa lipi na kunaweza kuwa kwa muda gani? Kwa maoni yangu uamuzi wa kumnyima shughuli mume unaweza kabisa kuiweka ndoa juu ya mawe na hata kuivunja kabisa hasa kama itakuwa ni kwa muda mrefu.
 
We boss,huna sera,this is the home of great thinkers.

wewe kila kukicha ngono ngono ngono,nimekusoma sana wewe.

acha kuwaza ngono sana,unaonesha upuuzi wako hapa.

hatuna muda wa ngono sisi.

hivi kama unaona hapa hapakufai kwa nini unaingia jamani majukwaa yamejaa JF ...nini maana ya mapenzi ,mahusiano na urafiki ..kumbe wewe ulitaka aongelee upandaji wa maua ,siasa na uchumi au nini katika jukwaa hili
 
waswahili bana,ivi we bata ni lazima kusoma thread za mapenzi?kama kwako suala hili sio muhimu basi soma thread nyingine mbona zipo nyingi tu haya ya huku tuachie wenyewe.....mimi nafikiri si bure huyu jamaa kuna kitu anataka toka kwa mtoa mada wetu labda aulizwe hii ni dunia ya ukweli na uwazi......nawasilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom