The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
Hivi kwa nini wanawake wengi wa kitanzania
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???
Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???
Kuna faida nyingi kwa mwanamke anapofanya sex
mara kwa mara hizi ni baadhi tu
1.ngozi inakuwa nzuri na laini.
2.nywele zinakuwa nzuri na zina shine.
3.unapata usingizi mzuri..
4.unapata hamu ya kula vizuri..
5.unaondoa stress kichwani.
6.unaongeza confidence ...na self esteem
7.unapata amani ya moyo...
8.unapunguza kasi ya kuzeeka...
9.unapunguza kisirani kwa ujumla..
10.........etc, etc.
wanafikiri sex ni kwa ajili ya kumfurahisha
mwanaume,kama vile haina faida yeyote kwao???
Mara nyingine utasikia mwanamke anamnyima sex
mpenzi wake kama njia yakumkomoa why???
Kuna faida nyingi kwa mwanamke anapofanya sex
mara kwa mara hizi ni baadhi tu
1.ngozi inakuwa nzuri na laini.
2.nywele zinakuwa nzuri na zina shine.
3.unapata usingizi mzuri..
4.unapata hamu ya kula vizuri..
5.unaondoa stress kichwani.
6.unaongeza confidence ...na self esteem
7.unapata amani ya moyo...
8.unapunguza kasi ya kuzeeka...
9.unapunguza kisirani kwa ujumla..
10.........etc, etc.