jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana
jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana
Hahaha! I can smell your sweetness! LOL! Kuchwa na mke? Mi najua mke ndio huwa anaachwa! Huyo atakayeachwa na mkewe nakushauri usimtafute. Stuka! Tutafute sisi tunaotafuta wake wa pili!
lohhhhh mke wa pili si ndio unatufanya tuendelee kuachika ungesema unatamtafuta wa NNE ningekufikiria maana najua hapo mwisho wa reli...au mmeongezewa na kuwa sita...maana siku hizi hata ajira miaka 50-60-65,,sembuse wake 7??
jamani kwa yoyote atakaepata matatizo ya kuachwa na mkewe anijulishe natumaini kuachwa si kuachika...swala ni kuvumiliana na kurekebishana
karibu sana
mimi ndo nimeachika sasa hivi sasa uni PM tuanze mchakato
shauri yenu wapwa,
nyie mnakurupuka tu kuachwa na wake zenu, je mnajua huyu ni HE/SHE???
kazi kwenu.
hahahah yaani kila anayeacha akuone wewe babylove utawasaidiaje kwa hili? wakuwowe wewe or !!!
Siyo babylove binamu. Ni sweetbaby! Stuka!
Lol, mpwa unachanganya madawa hapa:hahahah yaani kila anayeacha akuone wewe babylove utawasaidiaje kwa hili? wakuwowe wewe or !!!
mamaaaaaaa, presha ilinipanda na kushuka ghafla, u knoo wora i miiin??, BabyLove!!, pangechimbika.Siyo babylove binamu. Ni sweetbaby! Stuka!
Lol, mpwa unachanganya madawa hapa:
mamaaaaaaa, presha ilinipanda na kushuka ghafla, u knoo wora i miiin??, BabyLove!!, pangechimbika.
Lol, mpwa unachanganya madawa hapa:
mamaaaaaaa, presha ilinipanda na kushuka ghafla, u knoo wora i miiin??, BabyLove!!, pangechimbika.
Siyo babylove binamu. Ni sweetbaby! Stuka!
Xpin the great thinker!!! yaani Porjie I was trying to imagine kama ingekua ni babylove, ndo tungekuwa tumetwanga maji sasa loh!!!!!!!
Mimi sijaachika wala nini sijawahi kupendwa kbsa hebu niondolee gundu mamii.