Shauri ya kula wake za watu!

NGULI

JF-Expert Member
Mar 31, 2008
4,803
637
shauri ya wake za watu!!
Ukiliwa mkeo ni contact.



 

Attachments

  • image001.jpg
    image001.jpg
    26.6 KB · Views: 670
  • image002.jpg
    image002.jpg
    22.1 KB · Views: 717
Hhehehe! Mpwa ntaku-PM unipe hayo mambo. Kuna kamjamaa naona kanamzengeazengea wife. LOL!
 
Jamani shem kwanza za asbuhi,
Hii thread si ungeweka kwenye mambo ya kikubwa! Hizi picha hadharani jamani?
 
Jamani shem kwanza za asbuhi,
Hii thread si ungeweka kwenye mambo ya kikubwa! Hizi picha hadharani jamani?

Vipi umeogopa au umetishika? Hahaha! Hapa ndio pahala pake, wanaokuzengea wakae wakijua kabisa kwamba mpwa ana dawa yao. LOL!
 
Jamani shem kwanza za asbuhi,
Hii thread si ungeweka kwenye mambo ya kikubwa! Hizi picha hadharani jamani?

Salama shem, habari za matesha? usihofu hili onyo ni kwa mkubwa na mdogo akuwe akijua akionja tu analo hii ni adhabu tosha kwa VIWEMBE na DUNGADUNGA.
 
Salama shem, habari za matesha? usihofu hili onyo ni kwa mkubwa na mdogo akuwe akijua akionja tu analo hii ni adhabu tosha kwa VIWEMBE na DUNGADUNGA.

Heee! hii kweli adhabu tosha.Sasa wanawake nao wanaugua nini wakiiba waume za watu?
 
Salama shem, habari za matesha? usihofu hili onyo ni kwa mkubwa na mdogo akuwe akijua akionja tu analo hii ni adhabu tosha kwa VIWEMBE na DUNGADUNGA.

Hahaha! Kale kabinti ketu! Hakajambo mpwa. Leo mchumba wako simwoni jamvini, au umemfungia ndani watu wasikumegee? Manake anaelekea mjanja mjanja sana yule.
 
Hii inatisha, nimeogopa natetemeka kwanini adhabu kali hivyo, amuhurumie atashindwa kutembea, maskini mke wamtu sumu kali sana.
 
Hii inatisha, nimeogopa natetemeka kwanini adhabu kali hivyo, amuhurumie atashindwa kutembea, maskini mke wamtu sumu kali sana.

Mwonyeshe picha mmeo/mchumbako aili ajue litakalomkumba akipitia anga za mkuu nguli. Hahaha!
 
Back
Top Bottom