Tabia za mke/mume mwema ni zipi wajameni??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,720
21,778
Wajameni kumekuwa na imani nzuri inayofanya kazi mumemwema hutoka kwa bwana yesu sasa kama mwanandoa tunaomba utushauri hapa nini ama sheria gani zitakuonyesha huyu mume bora/mke bora...na si msanii kama yanayowatokea wengine soon after merriage
 
mliojeruhiwa nanyi ruksa kutoa maoni yenu wapi mlikosea wengine wasikanyage
maana hii lami ni ya kila mmoja uwe na miguu uwe na gari utaipita tu
 
Tabia za mume bora ni:

*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.

*Kumridhisha mkewe katika...................

*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)

*Kumfanya mkewe awe na furaha wakati wote (ajue kumbembeleza mkewe)

*Awe mtu wa kutoa surprise kwa mkewe sio hadi sikukuu.

*Awe msafi/smart/mtanashati.

*....................
*.....................
*...........................
Jazieni nyingine
 
Tabia za mume bora ni:

*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.

*Kumridhisha mkewe katika...................

*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)

*Kumfanya mkewe awe na furaha wakati wote (ajue kumbembeleza mkewe)

*Awe mtu wa kutoa surprise kwa mkewe sio hadi sikukuu.

*Awe msafi/smart/mtanashati.

*....................
*.....................
*...........................
Jazieni nyingine
Du hiyo ya kwanza hapo ni kiboko!.
 
Tabia za mume bora ni:

*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.

*Kumridhisha mkewe katika...................

*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)

*Kumfanya mkewe awe na furaha wakati wote (ajue kumbembeleza mkewe)

*Awe mtu wa kutoa surprise kwa mkewe sio hadi sikukuu.

*Awe msafi/smart/mtanashati.

*....................
*.....................
*...........................
Jazieni nyingine

Mme bora amheshimu mkewe
Asiwe na tabia za kihuni/nyumba ndogo wala ulevi kupindukia
Awe msaidizi wa mkewe katika majukumu ya ndani bila kushurutishwa
Familia yake iwe kipaumbele kwake
Amshirikishe mkewe katika kila jambo
.....................na kuendelea
 
Tabia za mume bora ni:

*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.

*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)
mnhhhhhh,
hapo kwenye bluu ni hatari sana, Mungu peke yake ndio anastali, yani akili yako yote iwe kwake??, Loh utakufa siku si zako
 
Kwa m'ke kutambua kuwa yeye ni sehemu ya m'me kwa kuwa katolewa ubavuni pake na m'me kutambua kuwa m'ke ni mfupa katika mifupa yake, watafanyiana mema ambayo yatawafanya wawe kila moja mwema kwa mwenziwe
 
Wajameni kumekuwa na imani nzuri inayofanya kazi mume mwema hutoka kwa bwana yesu sasa kama mwanandoa tunaomba utushauri hapa nini ama sheria gani zitakuonyesha huyu mume bora/mke bora...na si msanii kama yanayowatokea wengine soon after merriage

Kwa wakristo, kubwa zaidi ni kwa mwanamke kumheshimu mumewe na mwanaume kumpenda mkewe. Mengine yote yanaflow kutokea hapa. Matatizo mengi kwenye ndoa kimsingi yanatokana na kukosekana kwa heshima na/au upendo.

Mwanaume kumpenda mkewe maana yake nini? Na Mwanamke kumheshimu mumewe maana yake nini? Kwa nini Mungu hakumtaka mwanamke ampende mumewe kama sharti mahsusi? Na kwa nini Mungu hakumtaka mwanaume kumheshimu mkewe kama sharti mahsusi?
 
Kwa wakristo, kubwa zaidi ni kwa mwanamke kumheshimu mumewe na mwanaume kumpenda mkewe. Mengine yote yanaflow kutokea hapa. Matatizo mengi kwenye ndoa kimsingi yanatokana na kukosekana kwa heshima na/au upendo.

Mwanaume kumpenda mkewe maana yake nini? Na Mwanamke kumheshimu mumewe maana yake nini? Kwa nini Mungu hakumtaka mwanamke ampende mumewe kama sharti mahsusi? Na kwa nini Mungu hakumtaka mwanaume kumheshimu mkewe kama sharti mahsusi?

nimepigia mstari......maneno hayo yamebeba majibu unayotaka
 
Kwa wakristo, kubwa zaidi ni kwa mwanamke kumheshimu mumewe na mwanaume kumpenda mkewe. Mengine yote yanaflow kutokea hapa. Matatizo mengi kwenye ndoa kimsingi yanatokana na kukosekana kwa heshima na/au upendo.

Mwanaume kumpenda mkewe maana yake nini? Na Mwanamke kumheshimu mumewe maana yake nini? Kwa nini Mungu hakumtaka mwanamke ampende mumewe kama sharti mahsusi? Na kwa nini Mungu hakumtaka mwanaume kumheshimu mkewe kama sharti mahsusi?
Kwa sababu yeye ndiye aliyetumba na ndiye anyejua mahitaji ya kila mmoja na hayo yakisha patikana kwa pande zote basi gundi imetimia.
Alijua mume akishamchagua tu mrembo wake na kukiri mbele za Mungu tayari anampenda, na huyo mrembo akimheshimu huyo mume basi mambo yote ni waaaaaa!
 
Tabia za mume bora ni:

*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.

*Kumridhisha mkewe katika...................

*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)

*Kumfanya mkewe awe na furaha wakati wote (ajue kumbembeleza mkewe)

*Awe mtu wa kutoa surprise kwa mkewe sio hadi sikukuu.

*Awe msafi/smart/mtanashati.

*....................
*.....................
*...........................
Jazieni nyingine
......mkarimu kwa ndugu,jamaa na marafiki.
......awe understanding yaani si mtu tu wa kukurupukia vitu
........amuheshimu mkewe.
........mume mwema ni yule anayempiga mkewe kwa upande wa khanga :)
.......
.......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom