Du hiyo ya kwanza hapo ni kiboko!.Tabia za mume bora ni:
*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.
*Kumridhisha mkewe katika...................
*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)
*Kumfanya mkewe awe na furaha wakati wote (ajue kumbembeleza mkewe)
*Awe mtu wa kutoa surprise kwa mkewe sio hadi sikukuu.
*Awe msafi/smart/mtanashati.
*....................
*.....................
*...........................
Jazieni nyingine
Tabia za mume bora ni:
*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.
*Kumridhisha mkewe katika...................
*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)
*Kumfanya mkewe awe na furaha wakati wote (ajue kumbembeleza mkewe)
*Awe mtu wa kutoa surprise kwa mkewe sio hadi sikukuu.
*Awe msafi/smart/mtanashati.
*....................
*.....................
*...........................
Jazieni nyingine
mnhhhhhh,Tabia za mume bora ni:
*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.
*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)
Wajameni kumekuwa na imani nzuri inayofanya kazi mume mwema hutoka kwa bwana yesu sasa kama mwanandoa tunaomba utushauri hapa nini ama sheria gani zitakuonyesha huyu mume bora/mke bora...na si msanii kama yanayowatokea wengine soon after merriage
Kwa wakristo, kubwa zaidi ni kwa mwanamke kumheshimu mumewe na mwanaume kumpenda mkewe. Mengine yote yanaflow kutokea hapa. Matatizo mengi kwenye ndoa kimsingi yanatokana na kukosekana kwa heshima na/au upendo.
Mwanaume kumpenda mkewe maana yake nini? Na Mwanamke kumheshimu mumewe maana yake nini? Kwa nini Mungu hakumtaka mwanamke ampende mumewe kama sharti mahsusi? Na kwa nini Mungu hakumtaka mwanaume kumheshimu mkewe kama sharti mahsusi?
Kwa sababu yeye ndiye aliyetumba na ndiye anyejua mahitaji ya kila mmoja na hayo yakisha patikana kwa pande zote basi gundi imetimia.Kwa wakristo, kubwa zaidi ni kwa mwanamke kumheshimu mumewe na mwanaume kumpenda mkewe. Mengine yote yanaflow kutokea hapa. Matatizo mengi kwenye ndoa kimsingi yanatokana na kukosekana kwa heshima na/au upendo.
Mwanaume kumpenda mkewe maana yake nini? Na Mwanamke kumheshimu mumewe maana yake nini? Kwa nini Mungu hakumtaka mwanamke ampende mumewe kama sharti mahsusi? Na kwa nini Mungu hakumtaka mwanaume kumheshimu mkewe kama sharti mahsusi?
......mkarimu kwa ndugu,jamaa na marafiki.Tabia za mume bora ni:
*Kumpenda mkewe kwa moyo wake wote na akili yake yote.
*Kumridhisha mkewe katika...................
*Kuwa kipaumbele katika kutoa mahitaji ya mkewe na family.( asiwe bahili)
*Kumfanya mkewe awe na furaha wakati wote (ajue kumbembeleza mkewe)
*Awe mtu wa kutoa surprise kwa mkewe sio hadi sikukuu.
*Awe msafi/smart/mtanashati.
*....................
*.....................
*...........................
Jazieni nyingine