Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

IN CHURCH sisters are complaining the brothers are boring, out there Women claim the men are irresponsible and non committal. College girls say their fellow men are broke and young, in offices...
19 Reactions
77 Replies
6K Views
Kila mmoja wetu anajua nini anachohitaji kwenye mahusiano na kinapokosekana ama kuwepo zaidi ya alichotaka anaweza akavunja mahusiano hayo. Kuna watu wanaopenda kuwa na 'YES' kinda man/woman. ...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Ebana,kuna mtoto nimempata hapa chuo,ye kwao ni hapa hapa dsm,sa kanambia ka nataka kumbanjua bac nitafute sehemu ambayo iko nje kdogo ya mji,so wakuu mnaoijua dar vzr, ebu nipeni mwongozo,ni...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Juzi tulikuwa sehemu na mada hii ikaibuka! Vipi mwanamke aliyeolewa avae vipi? Huyu dada aliyepekea hoja ianze ni mnene asiye na upungufu wa nyama mwilini! Bantu haswa! Lakini kavaa 'skini taiti'...
0 Reactions
72 Replies
8K Views
kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
salaam, nahitaji mchumba/mke anayejiheshimu/muaminifu mpenda maendeleo. we can opt for ndoa ya serikali if islam mmi ni mkristo safi, 30 years,umri wake uzingatie hili frangerry1@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini wazee wa malavi davi.Excuse me,nimeamua kuandika manzi sababu ningeandika mwanamke isingevutia! Hivi wakuu (men),mmeshawahi kuona mnaanza kupendwa na wanawake waliokuwa wanawaringia hapo...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Kila unavyopata elimu kuhusu jambo fulani, kiwango chako cha uelewa kinakuwa juu kuliko, Yapo mambo ingawa unayajua kabisa lakini huyapi kipaumbele kutokana na mazoea. Katika mapenzi swala...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF,nimefiwa na mtoto jana Muhimbili hospital. Mazishi ni leo saa7 mchana,msiba upo banana ukonga!
1 Reactions
256 Replies
16K Views
Mapenzi asili yake ni upendo, kupenda sio dhambi hata rais anajua kupenda, Tunapopendana Mungu anatupenda zaidi lakini wengi tunaharibu upendo kwa kukosa umakini. Upendo unatakiwa kubaki upendo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Leo hii ndoa nyingi sana zimeingiliwa na kujihami kwa aina mbalimbali, lakini aina kubwa au inayofanywa sana ni ile ya kuhamisha (Displacement). Kwa mfano, mabosi wetu wanapotuudhi ofisini...
2 Reactions
58 Replies
4K Views
Habari zenu Wana Jf Hayo maneno (Ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake. Baada ya kumwambia asivae...
0 Reactions
82 Replies
7K Views
Katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani,shirika la utangazaji la bbc limemkariri mwanamke katika moja ya maadhimisho hayo mjini Kampala nchini Uganda akiwahimiza wenzake kudai haki ya...
2 Reactions
43 Replies
7K Views
kuwa handsome kweli shida.napata shida sana na hata wakati mwingine siaminiki tena.Jamani nisaidieni niwaelezeje hawa wadada kuwa mie sitaki labda urafiki wakawaida tuuu.Natamani hata nijipake...
2 Reactions
75 Replies
7K Views
Kwa muda mrefu limekuwa linanipa tabu swali hili naomba msada wenu .
1 Reactions
23 Replies
8K Views
Nna boyfriend ambae baadae natarajia kua mme wangu mtarajiwa,wakati ananapproach alniambia km alkua n demu lakini aliachana nae kwa bahati mbaya wakati wanaachana kumbe hyo msichana alikua na...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Tukiwa ndani ya gari (daladala-naomba msinizodoe jamani) kutoka nkuhungu kuja jamatini mjini dodoma, ghafla tukaona njemba inamshushia kipondo mpenzi wake. Ilibidi tusimame tukihofia huenda...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndugu wana JF, Leo ni siku ya kina mama. Nimeona tuangalie hii kitu ambayo hawa wanaharakati wa haki za wanawake wamekuwa wakiita "Mfumo Dume". Kwa maoni yangu; Huu si mfumo kabisa - Ni social...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama kuna zawadi kubwa naweza kuwapa watu wengi kwa wakati mmoja basi ni hii. Fireproof,...haimaanishi ukiwa na fireproof hautapatwa na ajari ya moto bali ajali ikitokea utaweza kutoka...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa najua wajasiriamali watanielewa mapema ..lakini leo hii tukokwenye ujasiriamali wa mapenzi kila kitu kila jambo lazima liwe na matarajio fulani..katika matarajio ni lazima upitie...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom