Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Juzi tulikuwa sehemu na mada hii ikaibuka! Vipi mwanamke aliyeolewa avae vipi? Huyu dada aliyepekea hoja ianze ni mnene asiye na upungufu wa nyama mwilini! Bantu haswa! Lakini kavaa 'skini taiti', kishati kidogo kiloacha sehemu ya kifua chake kikubwa nje. Mguuni kipo kikuku! Mkononi ana pete ya ndoa ilobebana na ya engagement kuonesha ni mke wa mtu! Mke wa mtu, utokeje?